Pamoja na utajiri upatao Tsh: Trilion 167, Mark Zuckerberg (Mmiliki wa Facebook) ni mtu SOCIAL sijapata kuona

Traveller X

JF-Expert Member
May 2, 2017
271
305
Naam, nasema tena huyu jamaa ni mtu social sijapata kuona, ukitazama kuanzia nyumba anayoishi,Gari anayoendesha,Nguo anazovaa watu anaozungukwa nao, sidhan kama kuna bilionea mwingine hapa duniani anaishi maisha anayoishi huyu jamaa,

Mark mpaka sasa ana utajiri upatao UDS 74.7 Billion ambazo ni kama shilingi trilion 196 hivi uki convert kwa 2248 tsh lakini jamaa bado nashangaa hivi hahofii hata usalama wake kwa jinsi anavyojichanganya na watu hivi, pengine wakuu mnieleweshe hapa kwenye usalama wake...
 
Huyo anajiamini mkuu usikute anawalinzi kuliko hata matajiri wengine wakubwa
 
Kabla ya kupata utajiri mungu huwa anaangalia moyo kwanza hasa kama utakuwa na moyo wa kupondeka na huruma kwa wengine mungu atakubariki......ebu piga picha kama huyu dogo angekuwa paul makonda!!!!
Hahahaa sijaona kabisa hapa
 
Hajapata utajiri wake kwa kudhulumu, kumnyonya au kumuonea mtu. Hana haja ya kuhofia usalama wake.

Lakini usalama ni zaidi ya uyaonayo kwa macho ya wazi. Nyumba yake inahesabika kuwa 'Facebook infrastructure' na inalindwa na state of the art technology
 
Mnavyomuona mtaani haimaanishi yupo simple ni kwamba ulinzi wake haupo kibashite ila hawana simple life style/security:
-Mark Zuckerberg (Facebook): $4.26m
-Jeff Bezos (Amazon): $1.6m
-Larry Ellison (Oracle): $1.53m
-Marc Benioff (Salesforce): $1.45m
-Evan Spiegel (Snapchat): $890,000
-Marissa Mayer (Yahoo): $545,000
-Eric Schmidt (Google): $360,000
-Tim Cook (Apple): $210,000
-Mark Hurd (Oracle): $176,000
-Jack Dorsey (Twitter): $112,000
-Brian Krzanich (Intel): $65,000

Why does it cost 20 times as much to protect Mark Zuckerberg as Tim Cook?
 
Hajapata utajiri wake kwa kudhulumu, kumnyonya au kumuonea mtu. Hana haja ya kuhofia usalama wake.

Lakini usalama ni zaidi ya uyaonayo kwa macho ya wazi. Nyumba yake inahesabika kuwa 'Facebook infrastructure' na inalindwa na state of the art technology
Soma historia ya facebook then uje ku-edit comment yako.
 
JAMAA NI SIMPLE KAMA LE MUTUZ
bill gates and googles.jpg
LE MUTUZ 1.jpg
 
Sasa hapa bongo kamtu kapate mpunga wale washikaji zake wa awali tu atawaona maboya full macheni pamba kali dharau hata kwa wazee
 
Back
Top Bottom