20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,760
Sio nijuilize ,Nisaidie majibu hayo juuu, then ntakupa majibu yangu,nishajiulizaga sana, hebu nitoe tongo tongo ktk maswal hayo, Bila kuruka hata moja, natumia ni mepesi kwakoJiulize hivi mkuu......Wachina wanaabudu kivyao, wazungu wana wao, wahindi wana wao, waarab wana wao, Africa jee?........ hujiulizi tu?......