Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,131
kwa kweli wana yanga wenzangu atuna budi kujipongeza kwa kumfunga mnyama kwa mara ya pili
na wakati huu tukielekea kupongezana si haba kuchukua maneno ya papic kwamba akuamini yanga ingeza mpira mbovu kama ule..akika ni wakati wa kutengeneza kikosi chetu ..si mbaaya kumpongeza tegete ila safu ya ushambliaji nao tujirekebidhs
na wakati huu tukielekea kupongezana si haba kuchukua maneno ya papic kwamba akuamini yanga ingeza mpira mbovu kama ule..akika ni wakati wa kutengeneza kikosi chetu ..si mbaaya kumpongeza tegete ila safu ya ushambliaji nao tujirekebidhs