Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Nimemsikia jana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan akisema kua madini yanatoroshewa chini na wakikamatwa wanakimbilia kuonyesha jiwe kubwa la madini, najiuliza pamoja na security yote hii ni kina nani waliendelea kutuibia madini yetu?
Maana yake ule ukuta hauna maana zaidi ya kupoteza fedha la walipa kodi kugharamia kuujenga ukuta huo. Imetumika nguvu badala ya akili kulinda yale madini na kututia hasara kubwa nb ila sababu. Hili jambo limeshangaza na kama kuna watu wanapinga hili yawezekana nao ni wapigaji.
Suala liingine la kuuliza, ni kwanini wakati wa utawala wa JPM hawakusema kabisa madini yanaendelea kutoroshwa na badala yake walibaki kusifia kua pato la madini limeongeza na maripoti yao.
Nani anaiba Madini yetu Mererani?
Maana yake ule ukuta hauna maana zaidi ya kupoteza fedha la walipa kodi kugharamia kuujenga ukuta huo. Imetumika nguvu badala ya akili kulinda yale madini na kututia hasara kubwa nb ila sababu. Hili jambo limeshangaza na kama kuna watu wanapinga hili yawezekana nao ni wapigaji.
Suala liingine la kuuliza, ni kwanini wakati wa utawala wa JPM hawakusema kabisa madini yanaendelea kutoroshwa na badala yake walibaki kusifia kua pato la madini limeongeza na maripoti yao.
Nani anaiba Madini yetu Mererani?