Pamoja na ukongwe wa CCM, Januari Makamba ametuonesha udhaifu wa mfumo wa utawala

Kamwe usiamini story za wanasiasa wa Tanzania kuwa fulani ni fisadi! Nyingi huwa ni stori za kutengeneza ili kuharibiana ulaji na kutengeneza kambi zao.

Mambo yote ya kweli huwa yanaishia Mahakamani na hukumu zinaonekaga Mf. Liyumba na Marehemu Basil Mramba.

Hizo stori za Rex Attorney, Mafuru na Mchechu ni stori za kutengenezwa tu ndo mana hukuwai ona watu wanefikishwa mahakamani

Ukitaka kuamini siasa za kibongo ni za kizandiki Waulize Mbowe , Lissu, Sendeka na Lema, Je Lowassa ni Fisadi au sio Fisadi?

Alafu fananisha majibu yao na ya kabla ya mwaka 2015 na baada ya mwaka 2015
nasisitiza kuna watu baba zenu walitakiwa kutoa nje, na siafu na sisimizi wakala yale makamasi
 
Maajar ilikuwa enzi za JK. Kipindi kile Dowans na Tanesco
Bora hata hao akina mchechu na mafuru maana hawakuwahi kujihusisha na Tanesco
Kuamini kauli za wanasiasa ni shida kweli, wao huwa wanaangalia interest zao tu. So kwa upande wangu naona kuwa kashfa zao zaweza kuwa kweli au famba pia.
 
Ni udhaifu sana kiongozi kutumia madaraka ya kisheria kutimiza haja zake bila kujali hisia za wananchi. Mabadiliko ndani ya Tanesco yalikuwa muhimu lakini siyo kwa aina hii ya watu wapya ndani ya shirika. Waziri Januari ameleta tena watu wale wale ambao waliiliza nchi hii kwa wizi. Siyo kwamba hafahamu, ni kiburi kwamba watanifanya nini? Kwa maana nyingine tumerudi kwenye wizi wa wazi kwa imani kwamba ni zamu yao kuiba wengine pia itafika zamu yao, lakini ni baada ya miaka 7 ijayo.

Angalia watakaoiendesha Tanesco Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni. Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC. Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao? Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?

Kama tumeamua kurudi ktk siasa dhaifu kiasi hiki, basi kumbe tuna wanasiasa ambao hawawezi kuwahudumia wa-TZ. Uchungu ni kuona kwamba huyu Januari ndo timu mpya aliyoiamini rais Samia. Mageuzi aliyoyafanya kwa haraka kiasi hiki, ni ishara kwamba ndo lengo la yeye kuteuliwa tena kushika wadhifa huo.
Watu hao watakuwa na maslai binafsi ya tanesco hii haikubaliki tunahitaji katiba mpya tuondokan na ccm
 
Ni udhaifu sana kiongozi kutumia madaraka ya kisheria kutimiza haja zake bila kujali hisia za wananchi. Mabadiliko ndani ya Tanesco yalikuwa muhimu lakini siyo kwa aina hii ya watu wapya ndani ya shirika. Waziri Januari ameleta tena watu wale wale ambao waliiliza nchi hii kwa wizi. Siyo kwamba hafahamu, ni kiburi kwamba watanifanya nini? Kwa maana nyingine tumerudi kwenye wizi wa wazi kwa imani kwamba ni zamu yao kuiba wengine pia itafika zamu yao, lakini ni baada ya miaka 7 ijayo.

Angalia watakaoiendesha Tanesco Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni. Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC. Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao? Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?

Kama tumeamua kurudi ktk siasa dhaifu kiasi hiki, basi kumbe tuna wanasiasa ambao hawawezi kuwahudumia wa-TZ. Uchungu ni kuona kwamba huyu Januari ndo timu mpya aliyoiamini rais Samia. Mageuzi aliyoyafanya kwa haraka kiasi hiki, ni ishara kwamba ndo lengo la yeye kuteuliwa tena kushika wadhifa huo.
Angalia watakaoiendesha Tanesco Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni. Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC. Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao? Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?

Hii inaitwa bucha limekabidhiwa mafisi
 
Nilivyoona teuzi ya B.B kuwa RC nikajua tayari hakuna jipya kwahiyo yanayoendelea sasa wala sishangai
 
Ni udhaifu sana kiongozi kutumia madaraka ya kisheria kutimiza haja zake bila kujali hisia za wananchi. Mabadiliko ndani ya Tanesco yalikuwa muhimu lakini siyo kwa aina hii ya watu wapya ndani ya shirika. Waziri Januari ameleta tena watu wale wale ambao waliiliza nchi hii kwa wizi. Siyo kwamba hafahamu, ni kiburi kwamba watanifanya nini? Kwa maana nyingine tumerudi kwenye wizi wa wazi kwa imani kwamba ni zamu yao kuiba wengine pia itafika zamu yao, lakini ni baada ya miaka 7 ijayo.

Angalia watakaoiendesha Tanesco Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni. Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC. Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao? Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?

Kama tumeamua kurudi ktk siasa dhaifu kiasi hiki, basi kumbe tuna wanasiasa ambao hawawezi kuwahudumia wa-TZ. Uchungu ni kuona kwamba huyu Januari ndo timu mpya aliyoiamini rais Samia. Mageuzi aliyoyafanya kwa haraka kiasi hiki, ni ishara kwamba ndo lengo la yeye kuteuliwa tena kushika wadhifa huo.
Mkuu

Kilichofanyika sio bahati mbaya au nzuri ila ni mkatati maalum, kwa sababu maalum , kwa muda maalum na malengo maalum wala usiumize kichwa bure ni kawaida kwa nyumba za vijijini usiku mwanga ukizima majoka aina ya swila kujongea ndani ya nuumba yakivizia kugonga kuku na kula mayai ya kuu hilo ndilo linalofanyika.

Hizo ndizo dharau ya utawala kutozingatia sheria na kuupuza maoni ya wananchi wanaofahamu zaidi kuhusu maovu ya viongozi.

Kwa sasa mwenye nguvu ya kiuchumi ndio anabebwa bila kujali madhara ya uamuzi unaofanyika.

Mwombeni Mungu atawanusuru na madhila zaidi.
 
NA BADO.

Team anaupiga mwingi bado wana usingizi wa pono, behold, the days come, saith ..., that I will send a famine in the land, not a famine of bread, nor a thirst for water, but of hearing the words of the KING, ahahaaaa.

Watu wakisema nchi inataka kiongozi mkakamavu as late Legendary John mnaleta dhihaka, acheni watu wapige pesa.

Nyoosha mkono uchukue kile kilicho karibu nawe, otherwise tulia ngano na magugu zikue pamoja mpaka zitakapo gawanyika.
Mataga enzi zenu zimeisha, acheni kuhangaika kama kuku anayetaka kutaga.
 
Angalia watakaoiendesha Tanesco Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni. Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC. Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao? Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?

Hii inaitwa bucha limekabidhiwa mafisi
Unao ushahidi, au ndiyo "inasemekana?"
 
Kamwe usiamini story za wanasiasa wa Tanzania kuwa fulani ni fisadi! Nyingi huwa ni stori za kutengeneza ili kuharibiana ulaji na kutengeneza kambi zao.

Mambo yote ya kweli huwa yanaishia Mahakamani na hukumu zinaonekaga Mf. Liyumba na Marehemu Basil Mramba.

Hizo stori za Rex Attorney, Mafuru na Mchechu ni stori za kutengenezwa tu ndo mana hukuwai ona watu wanefikishwa mahakamani

Ukitaka kuamini siasa za kibongo ni za kizandiki Waulize Mbowe , Lissu, Sendeka na Lema, Je Lowassa ni Fisadi au sio Fisadi?

Alafu fananisha majibu yao na ya kabla ya mwaka 2015 na baada ya mwaka 2015
Kwa maana hiyo hakuna ufisadi wowote hapa nchini
 
NA BADO.

Team anaupiga mwingi bado wana usingizi wa pono, behold, the days come, saith ..., that I will send a famine in the land, not a famine of bread, nor a thirst for water, but of hearing the words of the KING, ahahaaaa.

Watu wakisema nchi inataka kiongozi mkakamavu as late Legendary John mnaleta dhihaka, acheni watu wapige pesa.

👉🏾Nyoosha mkono uchukue kile kilicho karibu nawe, otherwise tulia ngano na magugu zikue pamoja mpaka zitakapo gawanyika.
Hauko sahihi. Hata mimi Magufuli kuna mambo nilikuwa namkubali ila kuna mengine alifanya vibaya sana sana. Na ndiyo hayo watu walikuwa wanamlalamikia. Kwanza kama angekuwa amekubali tukawa na katiba mpya baada ya uchaguzi wa 2020, haya yote yasingetokea kabisa. Mimi tangu zamani mama Samia nilijua ni kimeo na siku likitokea la kutokea nchi itarudi kwenye mikono ya mafisadi kushinda wakati mwingine wowote.
 
Nilivyoona teuzi ya B.B kuwa RC nikajua tayari hakuna jipya kwahiyo yanayoendelea sasa wala sishangai
Hakuna kitu kinacholevya kama madaraka. Mtu akishakalia kile kiti anajiona yeye ni sawa na Mungu na pengine amemzidi hata Mungu. Nina uhakika kabisa team Chato ingejua kitakachotokea lazima kungekuwa na mabadiliko makubwa ya katiba na mama asingekuwa ndiye mrithi. Kila nikikumbuka kipindi cha Magufuli, watu wa timu Msoga walivyokuwa wanajuta na kuilaani hii katiba nashangaa sana wanasiasa walivyo. Sasa hivi wameshajisahau na hawaoni tena ubaya wa katiba ila wanajipanga namna ya kula. Ila na wao wamesahau kuwa kesho linaweza kutokea jingine ambalo hawakuliwaza kabisa na madaraka yakaenda kwa wengine.
 
Kumuweka tu Maajar ambae aliisaidia Dowans kuwaliza Tanesco ni Jambo la ajabu sana.
Bado najiuliza ina maana viongozi wetu hawana kumbukumbu?
Wamewekwa watu wenye maslahi ktk sekta ya nishati. Hawajateuliwa bahati mbaya. Wamerudi KWA Kasi kuitafuta nchi.
 
Kuamini zile kauli za Jiwe ilibidi uwe na uwezo kama wake au chini yake kama wewe.
Kwani hadithi za akina Mafuru zilianza wakati wa Magufuli? DOWANS scandal ilianza wakati wa Magufuli? Huna hata akili ya kujiuliza yalianza lini! You seem stupid!
 
Ni udhaifu sana kiongozi kutumia madaraka ya kisheria kutimiza haja zake bila kujali hisia za wananchi. Mabadiliko ndani ya Tanesco yalikuwa muhimu lakini siyo kwa aina hii ya watu wapya ndani ya shirika. Waziri Januari ameleta tena watu wale wale ambao waliiliza nchi hii kwa wizi. Siyo kwamba hafahamu, ni kiburi kwamba watanifanya nini? Kwa maana nyingine tumerudi kwenye wizi wa wazi kwa imani kwamba ni zamu yao kuiba wengine pia itafika zamu yao, lakini ni baada ya miaka 7 ijayo.

Angalia watakaoiendesha Tanesco

Mafuru Tanesco- Mtu ambaye inasemekena alifanikisha GSM kusomba pesa za NBC kununulia magari ya mizigo bila kulipa deni.

Mchechu –Aliyejinufaisha badala ya kuinufaisha NHC.

Majaar –mdanganyifu wa kisheria, Tanesco ikaingia matatani hadi leo. Kubwa zaidi, imekuwaje wote hawa kukubali uteuzi huo wakati wakijua umma wa kitanzania hauna imani nao?

Hata kama walisingiziwa, je, hawana busara za kujiondoa?

Kama tumeamua kurudi ktk siasa dhaifu kiasi hiki, basi kumbe tuna wanasiasa ambao hawawezi kuwahudumia wa-TZ. Uchungu ni kuona kwamba huyu Januari ndo timu mpya aliyoiamini rais Samia.

Mageuzi aliyoyafanya kwa haraka kiasi hiki, ni ishara kwamba ndo lengo la yeye kuteuliwa tena kushika wadhifa huo.
Jamani tuache uongo,mwenye ushahudi auweke sio tuhuma za kupuuzi kama hizi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii haina watu wapya zaid ni wale wale mfano ktk hili la teuzi! Inashangaza na kushindwa kuelewa ni kivipi wanashindwa kuwapata watu ambao wapo katika taasisi nyingi tu, tuendako ndiko turudiko sijui tutafika lini
 
Kwani hadithi za akina Mafuru zilianza wakati wa Magufuli? DOWANS scandal ilianza wakati wa Magufuli? Huna hata akili ya kujiuliza yalianza lini! You seem stupid!
Wapi nimesema zilianza kipindi cha Jiwe? Una akili kweli wewe? Au hujui hapo kuna kipindi/awamu zaidi ya moja?
Pathetic
 
Back
Top Bottom