tutamkumbukamagu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 317
- 270
nasisitiza kuna watu baba zenu walitakiwa kutoa nje, na siafu na sisimizi wakala yale makamasiKamwe usiamini story za wanasiasa wa Tanzania kuwa fulani ni fisadi! Nyingi huwa ni stori za kutengeneza ili kuharibiana ulaji na kutengeneza kambi zao.
Mambo yote ya kweli huwa yanaishia Mahakamani na hukumu zinaonekaga Mf. Liyumba na Marehemu Basil Mramba.
Hizo stori za Rex Attorney, Mafuru na Mchechu ni stori za kutengenezwa tu ndo mana hukuwai ona watu wanefikishwa mahakamani
Ukitaka kuamini siasa za kibongo ni za kizandiki Waulize Mbowe , Lissu, Sendeka na Lema, Je Lowassa ni Fisadi au sio Fisadi?
Alafu fananisha majibu yao na ya kabla ya mwaka 2015 na baada ya mwaka 2015