Wana Jf kwa mimi hapa nilipo sijaona changes yoyote iliyoletwa na uwepo wa Symbion Power, umeme ndo umekuwa balaa zaidi... hatukuwahi kukatiwa umeme j'pili ila hii ni mara ya pili wanauchukua asb unarudi usiku... ninavyojua mimi hawa Symbion walishaanza kazi sasa mbona hali haibadiliki na tunawalipa hela nyingi za walipa kodi??? na kuna tetesi ile mitambo ya Tanesco ya Ubungo imezimwa kupisha Symbion, wakuu hii ikoje???