Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Igwe wanaJF
Pengine wangi hawajui kinachoendelea lakini kwa jicho la umakini utagundua pamoja na madhaifu makubwa lakini Mbowe kafanikiwa kwa kiasi kikubwa ku-brainwash wafuasi wa Chadema kwa kiasi kikubwa.
Unaweza ukafikiri ni nguvu za giza la hasha katumia udhaifu wa uelewa wa mambo na kupandikiza imani ya muujiza miongoni mwao.
Mbowe anajua kabisa anashindwa katika chaguzi lakini anafanya makududi kutengeneza sarakasi ili wafuasi waamini na huenda akatangaza kujitoa kwenye uchaguzi Kinondoni na Siha.
Kama ni ulozi Basi ni wa kiwango cha juu. Kudos Mbowe
Pengine wangi hawajui kinachoendelea lakini kwa jicho la umakini utagundua pamoja na madhaifu makubwa lakini Mbowe kafanikiwa kwa kiasi kikubwa ku-brainwash wafuasi wa Chadema kwa kiasi kikubwa.
Unaweza ukafikiri ni nguvu za giza la hasha katumia udhaifu wa uelewa wa mambo na kupandikiza imani ya muujiza miongoni mwao.
Mbowe anajua kabisa anashindwa katika chaguzi lakini anafanya makududi kutengeneza sarakasi ili wafuasi waamini na huenda akatangaza kujitoa kwenye uchaguzi Kinondoni na Siha.
Kama ni ulozi Basi ni wa kiwango cha juu. Kudos Mbowe