Pamoja na Tanzania kuingia nchi za uchumi wa kati, bado inaendelea kuwa katika kundi la Nchi Masikini Kuliko Zote Duniani (LDC)

Waliotuweka kwenye orodha ya nchi masikini yaani LDc ndio hao waliotuweka kwenye nchi zinzifikia Uchumi wa Kati

Labda kawaulize wao ndio watakupa majibu, vinginevyo ni ule mwendelezo wa kupinga hata visivyopingika
Ni jibu la kukosa akili. Ikiwa hampendezwi na wao kuwaweka katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani, msipendezwe na wao kuwaweka katika uchumi wa kati kwa sababu ni watu hao hao.

Lakini tunawajua mlivyo wanafiki - leo mtaita watu wafadhiri, kesho mabeberu
 
How while I am not part and parcel of the government?



Unadai una pesa nyingi sana then if this is true why for the last five years you were unable to increase government employees’ salaries?

LIAR!
Ha haha! BAK huyu jamaa anapiga fix hadi nikamkumbuka mzee wa Inde moni! Duh, fix za kiwango cha lami.

 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Na wewe ni raia boga masikini kuliko wote....... maana hata point zako zimekaa kimasikini vile vile........badilika kichuguu wew mbona upendi mazuri yatupate.........sasa ule mkopo wa chuo ulichukua wa nini...?? Au ulienda kujifunza umasikini.........?? Nyauba wewe
Wala sioni uliloongea hapa kuhusu mada. Unapiga kelele tu kama mwendawazimu
 
Stop pretending that you can read my mind!!! Who are you GOD!!!? 😳😳😳

The TRUTH will always PREVAIL when it comes to this government of LIARS.
BAK this has nothing todowith obssesion
Stop pretending that you can read my mind!!! Who are you GOD!!!? 😳😳😳

The TRUTH will always PREVAIL when it comes to this government of LIARS.
By the way I regard you the same as a smart guy.
However I would like to make some corrections about myself.
I am not obsessed or influenced by or from any quarters. My views are personal.

The nexus between you and myself has been cordial and informative despite our divergent opinions on how we see things from different prisms angles and to be pricise on President Magufuli's administration.
I have NEVER taken, or regarded any of your comments as expendables but rather as person who could be as ana epitome for others to emulate when discussing hot issues. I SALUTE YOU FOR THAT SIR.
Why doI sat that.?
You are a person who is sober DURING discussions and you do not allow yourself to be disoriented by ANGER.
One last thing I would like toput it CLEAR your axiom on matters as you see I do sincerily respect them as divergent views and not as MPINZANI!
Got it sir?
Nashukuru sana.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
nafikiri cha kujiuliza na ni kwamba sisi binafsi tumefanya nini kuhakikisha nchi imekuwa tajiri?
kama wewe ni graduate na hujaweza kuajiri watu hata watatu au kazi unayofanya haina impact ya uchumi kwa jamii ujue bado unadeni kubwa sana kwa watanzania.
Kwani wanasiasa wanaajiri watu wangapi katika ubora wao wa siasa? For your information, mie kilichonizuia kuajiri watu hadi sasa ni ujinga wa wanasiasa tulio nao madarakani
 
Eti wale wenye akili naww unajijumulisha....Sasa tuambie ww una akili ujilinganisha na nani!!?

Haiko kama unavofikiria....na usijiite mwenye akili.....labda upate wakujilinganisha
Tatizo nikijibu swali lako hili nitafungwa!
 
Mi naona huna akili kwasababu hujui n kigezo gan wanatumia kucategorise!?
Huna akili kwasababu unadhan kipato Cha Kati wanakuja kuangalia kiasi ulichonacho mfukoni??
Huna akili kwasababu unaangalia hali yako binafsi ya uchumi na unatumia hiyo kubeza...!!? Sasa naww unaakili??

Nchi kama Botswana,Cameroon,Angola, Zambia zimetuzidi nn Happo!!? Au Kenya...watu wanakufa njaa KILA mwaka turkana then iko kwenye middle income halafu uje ubwatuke hapa!?
Yaani hapo umeongea utumbo na kujionyesha ulivyo kihiyo. Unafurahia kuambiwa uko uchumi wa kati wakati ni wazi hujui maana ya GNIP

Unauliza Botswana, Kenya wametuzidi nini? Eti Kenya watu wanakufa kwa njaa kila siku kwa hiyo hawajatuzi. Lofa kweli wewe, nani alikuambia wanaangalia watu wangapi wamekufa kwa njaa ili kuamua nani anamzidi nani?

South Afrika watu wanalala kwenye shacks na Tanzania hatuna shacks - kwa hiyo uchumi wetu umezidi ule wa South Africa?

Naona kwa ujinga ulionao unadhani suala la kusema Tanzania imo katika nchi masikini kuliko zote duniani ni maoni yangu! I say, wewe kweli hamnazo.

Hivi kwa nini watu mnapenda kujitangaza mlivyo watupu kichwani? Kama huelewi mambo uliza.
 
Hi kitu in rahisi ,mbona hata humburg kuna masikini,unachukua mapato yote ya akina barict,bakresa,laizer na wengine wote 57m kisha gawanyia kwa watu 57m,utapata kwa wastani @ anapata ngapi
Achana naye mjinga huyu, hawezi kukuelewa na hajui kabisa haya mambo lakini anapayuka ovyo ili watu wadhani anajua mambo - domo kubwa vimasikio vidogoooo!
 
Kwani wanasiasa wanaajiri watu wangapi katika ubora wao wa siasa? For your information, mie kilichonizuia kuajiri watu hadi sasa ni ujinga wa wanasiasa tulio nao madarakani
kama sijakuelewa vile!
kama tunawanasiasa wajinga ni kwamba tulichangua wenyewe wanasiasa wajinga inamaana hatukuweza kutoa elimu ya kutosha kwa wapiga kura wenzetu ili wasichague wajinga au tulikuwa wajinga tukachangua wajinga wenzetu au hatukushiriki kuchagua tukaruhusu wajinga watuchagulie viongozi wajinga na kukubali akili ndogo itawale akili kubwa! sasa katika hili kosa la nani?
lakini si siasa peke yake inayoweza kusaidia kubadilisha watanzania wenzetu katika uchumi bado tunao wajibu wetu kwa kutumia taaluma tulizopata.
pamoja kuwa fundi cherahani aliejifunza kushona kwa miezi mitatu lakini anayejituma vizuri baada ya miaka miwili huwa tayari anaweza kuajiri watu wanne kwa kwa mtaji wa vyerahani vinne kila kimoja wastani wa kukinunua 300,000/- na kufanya jumla ya shilingi 1,200,000/- kodi ya pango 600,000/- kwa miezi sita akiwa ametumia kiasi kisichozidi 500,000/- kujifunza bado ameajiri sasa inakuwaje wewe uone siasa ni kigezo cha kutoweza kuajiri?
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
Kundi la nchi maskini kuliko zote, ndio nini? Least developed countries! Wanatumia vigezo gani kuiclassify nchi ni Ldc na nchi ni lower midle income country? Ungetambua hayo ungejijua wewe ni mbumbumbu pamoja na kuweka picha ya genius kwenye avatar yako.
 
NI kweli hakuna cha kushangilia wala kujisifia kwamba sasa tumekuwa katika kundi la nchi zenye uchumi wa kati. Kumbukeni kwamba watu hao hao wanaosema Tanzania sasa iko uchumi wa kati, ndio wanaotoa vigezo vya kuendelea kuiweka Tanzania katika kundi la Nchi Masikini Kuliko zote Duniani (LDCs)

Hadi sasa kuna nchi 31 ambazo ziko katika kundi za LDC na zina uchumi wa chini, na nchi 18 ambazo zina uchumi wa kati lakini bado ni LDC.

Swali la kujiuliza ni kwamba, kwa nini Tanzania ni LDC, moja ya nchi masikini kuliko zote duniani?

Wale tulio na akili tuendelee kusubiri Tanzania kujitoa katika kundi la nchi masikini kuliko zote duniani.

Na wengine endeleeni kushangilia na kupongezana na kumsifia Raisi Magufuli juu ya Tanzania kuingia uchumi wa kati, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni moja ya nchi 41 duniani ambazo ni masikini kuliko zote duniani - LDC!
Maendeleo yako au mtu mmoja ndio maendeleo halisi.
Wapo watu hata kule majuu, kumiliki nyumba ya vyumba vitatu itamchukua zaidi ya miaka 20.
Kwa hiyo mkuu kama vilivyo vidole havilingani na watu hivyo hivyo.
Mambo ya figures zisizojitoshreza isikusumbue sana, hata kitongojo cha Harlem New York kuna panya wanaofikia milioni 30.
 
Kundi la nchi maskini kuliko zote, ndio nini? Least developed countries! Wanatumia vigezo gani kuiclassify nchi ni Ldc na nchi ni lower midle income country? Ungetambua hayo ungejijua wewe ni mbumbumbu pamoja na kuweka picha ya genius kwenye avatar yako.
Aliyeleta concept ya nchi masikini kuliko zote sio mimi wewe poyoyo, huo ni usemi unaojulikana duniani na umekubalika, na kwa kiingereza ndio zinajulikana kama LDCs.

Anzia hapa - mara ngapi umesikia kwenye vyombo vya habari, magazeti nk yakitajwa mataifa tajiri? Je umewahi kupinga nchi hizi kuitwa mataifa tajiri?

Sasa kama hujapinga kuwapo mataifa tajiri, kwa nini upinge kuwapo mataifa masikini/ Kinyume cha tajiri ni nini?

Basi kama kuna mataifa yajiri kuna mataifa masikini. Na kama kuna mataifa masikini kuna mataifa masikini kuliko yote duniani - yanajulikana kama LDCs, na Tanzania ni moja wapo, na kulingana na vigezo vya LDC itaendelea kuwa mojawapo ya mataifa masikini kuliko yote duniani bila kujali kwamba sasa iko kwenye mataifa yenye uchumi wa kati.

Huo ndio ukweli wenyewe. Take it or leave it.
 
Maendeleo yako au mtu mmoja ndio maendeleo halisi.
Wapo watu hata kule majuu, kumiliki nyumba ya vyumba vitatu itamchukua zaidi ya miaka 20.
Kwa hiyo mkuu kama vilivyo vidole havilingani na watu hivyo hivyo.
Mambo ya figures zisizojitoshreza isikusumbue sana, hata kitongojo cha Harlem New York kuna panya wanaofikia milioni 30.
Sawa, lakini hizi classification haziangalii eneo moja la nchi. Ukienda Cape Town South Africa kule Filipi utasema Tanzania ni tajiri kuliko South Africa, lakini South Afrika imeiacha Tanzania kwa mbali sana!
 
Sawa, lakini hizi classification haziangalii eneo moja la nchi. Ukienda Cape Town South Africa kule Filipi utasema Tanzania ni tajiri kuliko South Africa, lakini South Afrika imeiacha Tanzania kwa mbali sana!
Ndio nasema real life per individual ndio kigezo genuine. Hizo data wakati mwingine ziko biased.
Doesn't reflect the actual situation.
 
Ndio nasema real life per individual ndio kigezo genuine. Hizo data wakati mwingine ziko biased.
Doesn't reflect the actual situation.
Mkuu watafanyaje data kwa mtu mmoja mmoja halafu ndio waamue Tanza nia iko wapi? Fikiria Tanzaia ya watu milioni 55. Kweli unaweza kufanya survey ya watu milioni 55 ili kuamua Tanzania iwe LDC au developing country au developed country? Kumbuka duniani kuna watu Bilioni 7.5. Watamaliza lini?

Ndio maana wanaangalia uchumi wa Taifa kwa ujumla, ukizingatia pia idadi ya watu, na vigezo vingine kama huduma za jamii nk, na kuamua Tanzania ni masikini au tajiri
1593780478262.png
 
Aliyeleta concept ya nchi masikini kuliko zote sio mimi wewe poyoyo, huo ni usemi unaojulikana duniani na umekubalika, na kwa kiingereza ndio zinajulikana kama LDCs.

Anzia hapa - mara ngapi umesikia kwenye vyombo vya habari, magazeti nk yakitajwa mataifa tajiri? Je umewahi kupinga nchi hizi kuitwa mataifa tajiri?

Sasa kama hujapinga kuwapo mataifa tajiri, kwa nini upinge kuwapo mataifa masikini/ Kinyume cha tajiri ni nini?

Basi kama kuna mataifa yajiri kuna mataifa masikini. Na kama kuna mataifa masikini kuna mataifa masikini kuliko yote duniani - yanajulikana kama LDCs, na Tanzania ni moja wapo, na kulingana na vigezo vya LDC itaendelea kuwa mojawapo ya mataifa masikini kuliko yote duniani bila kujali kwamba sasa iko kwenye mataifa yenye uchumi wa kati.

Huo ndio ukweli wenyewe. Take it or leave it.
Ndio maana nimekuambia wewe ni mbumbumbu. Moja ya kigezo cha nchi kuwa Ldc ni GNI per capita iwe ni chini ya Usd 1025. Sasa hivi Tanzazania ipo kwenye kundi la GNI per capita ya Usd 1036-3000+. Bado unag'ag'ania takwimu za miaka kumi iliyopita!
 
Ndio maana nimekuambia wewe ni mbumbumbu. Moja ya kigezo cha nchi kuwa Ldc ni GNI per capita iwe ni chini ya Usd 1025. Sasa hivi Tanzazania ipo kwenye kundi la GNI per capita ya Usd 1036-3000+. Bado unag'ag'ania takwimu za miaka kumi iliyopita!
Hakuna watu nawachukia kama watu ambao ni wajinga hawajui kitu na wanajifanya wanajua. WEwe nakuchukia zaidi kwa kuwa ni mjinga hujui kitu na unajifanya unajua, halafu unawaambia wanaojua kwamba ni mbumbumbu. HUo si ujinga ni upumbavu na wendawazimu.

Nani alikuwambia GNI ndio kigezo pekee cha kuweka nchi kwenye LDC? Hujasoma thread nikikuambia nchi inaweza kuwa hata kwenye upper middle income kwa kigezo cha GNI na bado ikawa LDC?

Tatizo lako wewe ni mjinga wa kudhani kwamba classification ya low income, middle income na high income ndio inaamua nchi kuwa LDC au la, na kwamba ukisha toka kwenye low income basi wewe sio tena LDC. Ina maana hii thread hujaelewa kitu, zero kabisa wewe.

Na kwa kukusaidia kukutoa ujinga, kuna vigezo viwili zaidi ya GNI vinavyoamua kuwa nchi ni LDC au la. Kwa hiyo unaweza kupita kigezo cha GNI kama Tanzania lakini ukawa hujapita vile vingine viwili. Vigezo hivyo vitatu ni kama ifuatavyo;
  1. Umasikini (poverty) - hiki ndio kigezo cha GNI unachokisema, ambapo lazima uwe na GNI ya wastani wa zaidi ya $1230 kwa miaka mitatu mfululizo
  2. Uimara wa nguvukazi katika nchi - kulingana na vigezo vinavyoangalia lishe ya watu nchini, afya za watu, kiwango cha elimu nchini na uwezo wa kujua kusoma wa watu wazima nchini
  3. Hali ya uchumi wa nchi kwa ujumla kulingana na uwezo wa kuzalisha mazao ya kilimo, uwezo wa kuuza bidhaa na huduma nje ya nchi, uwezo wa nchi kuhimili maafa kama mafuriko na matetemeko, shughuli za kiuchumi za kiviwanda (non-traditional)
 
Back
Top Bottom