A
Akili zimewakaa sawa, chezea mwamba wewe🤣Sasa ikawaje tena mkaenda kumshtaki ICC.??
Elections 2015 - Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemshitaki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete. Anaandika Josephat Isango. Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo mchana ukumbi wa Kisenga uliopo Millenium Tower, wakili wa Chadema, John Mallya amesema Kikwete...www.jamiiforums.com