Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,696
Lengo la huyu mburura ni kuua uchumi wa nchi na hakika AmefanikiwaSikuwahi kusikia JK akiagiza serikali isipange nyumba sector binafsi, hili agizo la juzi ndani ya mwezi wahame!? Sijui hizo nyumba ni za Wageni ama Watanzania. Mbali ya ofisi watumishi wangapi wanapanga makazi binafsi!? Kwanini chuki na sector binafsi!? Hata kandarasi za ndani , wajenzi mbali ya bei elekezi miradi bado hawalipwi kwa wakati.Hii roho mbaya inadumaza taifa,ile dhana ya "multiplier effect " nadhani amekariri msemo pekee.