Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Enzi za JK
-Hakuwahi kupiga ufisadi wa trilioni 2.4 hata kama ungeunganisha EPA, ESCROW na RICHMOND
-Hakuna mfanyabiashara aliyehamisha biashara kama hivi sasa.
-Watumishi wa umma waliongezewa mishahara na kupandishwa vyeo kila mwaka tofauti na ilivyo leo. Wakat anawaaga Mei Mosi 2015, aliwaambia atawaacha vizuri. Na kweli July aliwaongezea mshahara ambao ndo wanatembela hadi leo.
-Wakulima wa korosho hawakuwahi kudhulumiwa na serikali.
-Ajira za moja kwa moja kila mwaka wala si za kuomba kama leo.
-Deni la taifa halikupaa kwa spid ya bombadia.
-Bei za bidhaa mtaani zilikuwa chini tofauti na hii leo.
-Hotuba za kila mwisho wa mwezi zilileta matumaini.
-Wapinzani walifanya mikutano na maandamano bila kizuizi.
Yapo mengi, ni bora angerudi awamu hii hata kwa miaka miwili tu!
Hadi watoto walimpenda
-Hakuwahi kupiga ufisadi wa trilioni 2.4 hata kama ungeunganisha EPA, ESCROW na RICHMOND
-Hakuna mfanyabiashara aliyehamisha biashara kama hivi sasa.
-Watumishi wa umma waliongezewa mishahara na kupandishwa vyeo kila mwaka tofauti na ilivyo leo. Wakat anawaaga Mei Mosi 2015, aliwaambia atawaacha vizuri. Na kweli July aliwaongezea mshahara ambao ndo wanatembela hadi leo.
-Wakulima wa korosho hawakuwahi kudhulumiwa na serikali.
-Ajira za moja kwa moja kila mwaka wala si za kuomba kama leo.
-Deni la taifa halikupaa kwa spid ya bombadia.
-Bei za bidhaa mtaani zilikuwa chini tofauti na hii leo.
-Hotuba za kila mwisho wa mwezi zilileta matumaini.
-Wapinzani walifanya mikutano na maandamano bila kizuizi.
Yapo mengi, ni bora angerudi awamu hii hata kwa miaka miwili tu!
Hadi watoto walimpenda