Uchaguzi 2020 Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,635
29,967
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Kile chama kingine hakijaandaa mgombea...
Membe ama Nape wanaweza kupewa nafasi kugombea kule
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Hahahahahaaa Unamuogpasana Lissu hata kumtaja tu unatetemeka. Najua unamkubali ila sasa kumtaja mbele ya ccm wenzako watasema.unamhujum rais....hahahaaa
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Kama bado tunadhani kutakuwa na uchaguzi 2020 tujitafakari upya
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica

Yaani mkuu unamfananisha Zitto na vitu vya kijinga kama Jiwe?

Be serious bwana!

You well know,kwa hapo in all fairness,bila kuiba au kutumia dola and stuff,Zitto anashinda all the way through,easy!
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Eeenh, Britannica, umenichekesha kweli ulivyopiga chenga!

Haya Bhwanah. Naona kuna maendeleo kidogo kama sio ile tabia ya wana CCM tunayoijua.

Seriously, huenda nami ningekuunga mkono kwa wale "wasiotajwa"; lakini nisingemwacha Zitto nje ya serikali hiyo mpya katika wadhifa anaostahili.

Ukiwaacha hao 'wasiotajwa', CCM ya Magufuli bila ya kiapo cha kuacha kabisa haya tuliyoshuhudia miaka minne hii, itakuwa ni kuliumiza taifa hili na kuliacha na majeraha ya kudumu.
Yasingekuwa haya madudu, sioni sababu ambayo ingemzuia kuchaguliwa hata bila kufanya kampeni.

Sasa sijui ni kwa nini aliamua kuendesha mambo yake jinsi hii alivyoiendesha katika ngwe hii. Hapakuwa na sababu kabisa ya kuyafanya hayo madudu kwani mengine anayofanya yangemletea heshima kubwa zaidi kwa watu.
 
Mkuu Britannica, heading yako haijakaa sawa, na contents pia haijakaa sawa.

Heading yako hii

"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli akisimama mwaka 2020 na wafuatao ntamchagua tena", hillo neno "akisimama" hapo ulipoliweka, lina canotation meaning ya possibility ya
kama akisimama as if anaweza asisimame, wakati ukweli ni kuwa kwa mujibu wa taratibu za CCM, rais Magufuli ndie mgombea pekee wa CCM kwa 2020, hivyo hiyo akisimama haikupaswa kuwa hapo ulipoiweka.

Najua nia yako ni kumtumia rais Magufuli as comparator kumlinganisha na hao uliowataja, yaani akisimama na wafuatao, heading yako ingepaswa iwe
"Pamoja na Mapungufu ya Magufuli, mwaka 2020 akisisimama na wafuatao, ntamchagua tena".

Sasa nije kwenye contents
Kwavile jina la Magufuli limetanguliwa na pre qualifications "mapungufu" neno hilo ni pre qualifier, ulipaswa kwenye content uyaseme hayo mapungufu.

Mwisho ni my take.
Kwa my honest opinion, hujamtendea haki Zitto kwenye u serious.
Kwangu uchaguzi wa 2020, Zitto ndie the one and only mgombea mwenye impact kama akisimama na Magufuli.

Ni kwa vile the political playing field ya the game of politics kwenye siasa zetu is not level, kwenye uchaguzi wetu wa rais ni kama kugombea kisu cha makali kuwili, huku mgombea mmoja ameshika kwenye mpini, mwingine kwenye makali kuwili.
Mgombea mmoja anazunguka na full state backing ya a sitting president na ving'ora, media, state campaign budget, msafara wa state cars, huku mwingine with nothing, halafu watu hawa washindane, unategemea nini?.

Wenzetu nchi za Scandinavian na Nordic, wagombea urais wao lazima wafanane, hata kama alikuwa a sitting president anayegombea kwa mara ya pili, ile presidential status yake inakuwa scraped yote isipokuwa ulinzi, hakuna msafara, hakuna kumtumia state funds na wagombea wingine wote wa urais wanapatiwa state security na vyama kupewa ceiling ya campaign spending ili kutengeneza level playing field, wagombea wote wafanane, watu washindanishe sera na kujieleza.

Just imagine Zitto asimame na Magufuli, halafu Zitto naye apewe vitu vyote kama Magufuli, washindanishe sera na kujieleza, kiukweli kabisa, Magufuli atakuwa na kazi, kitakacho mfanya Magufuli ambwage Zitto ni his good track record ya deliveries, Flyovers, ndege, SGR, Stigler, Elimu bure, Afya, maji, maendeleo ya kuonekanika, Tanzania ya viwanda, etc, wakati Zitto atakuwa hana national deliveries zozote to compare, ndio maana nimeshauri humu kwa 2020, Tanzania hatuna haja ya kufanya uchaguzi wa rais, Magufuli atosha.

P
 
..kwangu mimi kumchagua Magufuli ni sawa na kukubali ukatili, ubaguzi, na upendeleo, uendelee.

..hatuwezi kuwa na nchi ambayo haina haki sawa kwa wananchi wote. hakuna haki sawa kisiasi, kiuchumi, na kijamii.

,,kwa mtizamo wangu Zitto Kabwe will make a much better President than Magufuli.
 
Ikitokea Magufuli akasimama na wafuatao,
1.Magufuli - CCM
2.Zitto Kabwe - ACT Wazalendo
3.CHAUMA- Hasim Rungwe
4.CUF - Ibrahim Lipumba
5.Dovutwa
6.Chief Lotalosa yembe

Sina budi kumpa kura yangu Magufuli, kwakuwa aliosimama nao hawana u serious wowote,

Pia itategemea Chadema atasimama nani,

Simba akizidiwa ula Nyasi

Britannica
Chadema atasimama Lisu
 
Mimi nitaungana na watanzania wengi kutopiga kura hadi itakapopatikana katiba mpya.

Katika muktadha huu ambao nguvu ya CCM ni mchanganyiko wa CCM+POLISI +VYOMBO VINGINE VYA DOLA, kushiriki uchaguzi ni sawa na kulima nafaka kwenye hifadhi ya wanyama pori.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom