MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kwa wanaojiuliza na kujifariji kua kuna mambo makubwa yanayifanyika awamu hii, wananchi wao wameikataa kabisa CCM, Yanayofanywa na serikali awamu hii hayajawagusa kabisa.
Wamegoma kuisikua CCM pamoja na kutumia nguvu kubwa kumaanisha wanayoyafanya lakini bado waneona kua hata malaika aibukie CCM hawezi kubadili taifa lao. Bado wanaendelea kuyasaka mabadiliko hawajachoka.
Cha msingi vyombo vyetu vya dola vitumie sheria zilizo kwenye katiba yetu kuwatumikia wananchi badala ya kulalamikiwa kuwabeba CCM ambao bado umma unaonekana kuwakataa, Wananchi wamewakataa CCM ambao walikiri kutumia pesa za umma ilikulazimisha kupendwa.