Duu kweli wewe uwezo wako mkubwa.. Mtoa mada ana point,tulitegemea sasa angalau 1.5 trillion na kuendelea iwe inakusanywa mana kelele zilizopo mtaani ni kwamba watu walikua hawalipi kodi,sasa wanalipa lakini makudanyo ni almost the same. Serikali ya mwendo kasi,naona kweli speed ni nzuri. Nasubiri barabara 6 kutoka dar hadi chalinze na flyover gorofa sita pia. Hii movie sijui lini itaisha mana ni zaidi ya seriesUwezowako mdogo...kama kila siku mnalia wawekezaji wanakimbia, lakini tumeweza kukusanya kiasi kilekile, inamaanisha tumeongeza mapato...kwa bahati mbaya, wachache sana wataelewa simple logic kama hiyo
Uwezowako mdogo...kama kila siku mnalia wawekezaji wanakimbia, lakini tumeweza kukusanya kiasi kilekile, inamaanisha tumeongeza mapato...kwa bahati mbaya, wachache sana wataelewa simple logic kama hiyo
Kadirio ni trion 1.268 kwa mwezi ili kwa mwaka wapate trion 15.1. Hiyo trion 1.5 ni zako tu kwa mwaka huu labda mwakani.Duu kweli wewe wako mkubwa.. Mtoa mada ana point,tulitegemea sasa angalau 1.5 trillion na kuendelea iwe inakusanywa mana kelele zilizopo mtaani ni kwamba watu walikua hawalipi kodi,sasa wanalipa lakini makudanyo ni almost the same. Serikali ya mwendo kasi,naona kweli speed ni nzuri. Nasubiri barabara 6 kutoka dar hadi chalinze na flyover gorofa sita pia. Hii movie sijui lini mana ni zaidi ya series
Subiri uwe Rais tukuone utafanya nini tofauti na sasa.Yale Yale tu.....July Mwaka 2015 kodi ilikuwa bilioni 914 Mwaka huu pamoja na kodi za miamala kelele bandarini kodi trilioni moja tu..
.
Jk walikuwa wanamshambulia bureeeeee!!!!!
Kama hutaki kulipa kodi, basi hamia marekaniNg'ombe an
Ng'ombe anakamuliwa hadi damu, mwisho wake atakufa.
Mizigo imepungua sana sana. Lakini kodi imeongezeka kidogo. Huoni tofauti wewe?Duu kweli wewe wako mkubwa.. Mtoa mada ana point,tulitegemea sasa angalau 1.5 trillion na kuendelea iwe inakusanywa mana kelele zilizopo mtaani ni kwamba watu walikua hawalipi kodi,sasa wanalipa lakini makudanyo ni almost the same. Serikali ya mwendo kasi,naona kweli speed ni nzuri. Nasubiri barabara 6 kutoka dar hadi chalinze na flyover gorofa sita pia. Hii movie sijui lini mana ni zaidi ya series
Mkuu umesahau ile Barabara juu ya Bahari kutokea beach ya Aga khan pale hadi Coco Beach... sijui ya kazi gani na mkataba keshasign kazi haijaanza hadi leo.. na amesema anasepa Dar... kuna watu walimuambia haiana maana hiyo barabara akawatumbua nadhani...Duu kweli wewe wako mkubwa.. Mtoa mada ana point,tulitegemea sasa angalau 1.5 trillion na kuendelea iwe inakusanywa mana kelele zilizopo mtaani ni kwamba watu walikua hawalipi kodi,sasa wanalipa lakini makudanyo ni almost the same. Serikali ya mwendo kasi,naona kweli speed ni nzuri. Nasubiri barabara 6 kutoka dar hadi chalinze na flyover gorofa sita pia. Hii movie sijui lini mana ni zaidi ya series
Huyo ndo Magu mkuu..Mzee wa kutumbua majipu ambayo hayajaivaMkuu umesahau ile Barabara juu ya Bahari kutokea beach ya Aga khan pale hadi Coco Beach... sijui ya kazi gani na mkataba keshasign kazi haijaanza hadi leo.. na amesema anasepa Dar... kuna watu walimuambia haiana maana hiyo barabara akawatumbua nadhani...
Wewe huoni tofauti ya bilioni 100! Hiyo ni bajeti ya wizara!Yale Yale tu.....July Mwaka 2015 kodi ilikuwa bilioni 914 Mwaka huu pamoja na kodi za miamala kelele bandarini kodi trilioni moja tu..
.
Jk walikuwa wanamshambulia bureeeeee!!!!!
Watu mna roho za kichawi unaombea tu mapato yashuke faida ya naniYale Yale tu.....July Mwaka 2015 kodi ilikuwa bilioni 914 Mwaka huu pamoja na kodi za miamala kelele bandarini kodi trilioni moja tu..
.
Jk walikuwa wanamshambulia bureeeeee!!!!!
Tafakari kabla hujacomment kitu angalia rate ya dola July 2015 compare na rate ya dola July 2016(1$=2200Tsh) hakuna mabadiliko yeyote zaidi ya kushuka.Wewe huoni tofauti ya bilioni 100! Hiyo ni bajeti ya wizara!
Au hakuna kizuri kwako!
.. Ni Tanzania pekee utakuta mwananchi anafurahia kushuka kwa makusanyo sababu ya siasa za vyama ....ndio, .... mtanzania yupo radhi kushangilia makusanyi kushuka eti kisa ushabiki wa vyamaYale Yale tu.....July Mwaka 2015 kodi ilikuwa bilioni 914 Mwaka huu pamoja na kodi za miamala kelele bandarini kodi trilioni moja tu..
.
Jk walikuwa wanamshambulia bureeeeee!!!!!
Nasikia kodi ya kichwa IPO njiani kila MTU alipe kodi Kwa maendeleo ya taifaSasa wanajipanga kupita nyumba hadi nyumba kukusanya kodi kwa waopangisha
Jk aliichukua nchi ikiwa inakusanya bil 170 tu kutoka kwa Mkapa, kaiacha inakusanya bil 970, bado huridhiki tu???Wewe huoni tofauti ya bilioni 100! Hiyo ni bajeti ya wizara!
Au hakuna kizuri kwako!