Pamoja na madhaifu yake, tunajikuta kwenye wakati mgumu sana kuwakataa CCM

Mmexico

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
369
328
SIASA ZA UPINZANI zilipokelewa vizuri sana kwa kiasi ambacho hakikutegemewa na watawala wetu kuanzia mwanzoni mwa miaka 90 tulipoanzisha Vyama vingi. Kwa kuangalia tu muamko wa watu hasa hasa vijana wengi na wasomi kwenye uchaguzi wa 1995 (wachache tulioshiriki) ilionyesha dhahili kiu ya waTanzania kutaka mabadiriko kote Bara na Visiwani.
Hili liliwachanganya sana CCM na waasisi wake na ilikuwa ishara nzuri kwa upinzani, ikionyesha dhahili saa ya Ushindi imekaribia. Kwa ujanja wao wakatumia nguvu kubwa na kupenyeza vibaraka walioweza kuhakikisha upinzani hauungani na kuuvunja vunja zaidi.
Siasa za kweli ziliibuka tena 2005 -2010, Upinzani ulibahatisha kuwa na watu makini wenye kujenga hoja nzito na ikaweza kweli kuibua vugu vugu jipya la kutaka Tanzania iliyo chini ya Chama mbadala. Kuacha kule zanzibar ambako CCM wamezoea kuiba kura, inasemekana hata huku bara Upinzani ulishinda au ulikaribia sana kushinda, na hivyo kufanya matokeo yapikwe.
2015 ulikuwa mwaka wao hasa Upinzani kuchukua nchi kimahesabu sababu CCM walishavulugana, Lowassa alikuwa hawezi kubaki kule na destination yake kubwa ilikuwa kujiunga na zitto kabla ya UKAWA kufanya maamuzi ya hovyo kwa kijupendekeza kwa EL, Hivyo kujitoa kafala mambo yote walikuwa wakiyapigania,wakiamini,wameyajenga wakiamini EL atawavusha salama.
Hapa ndipo wengine waliposhuka na kuacha kabisa kuamini siasa za upinzani, viongozi makini walipokatishwa tamaa na siasa za upinzani nchi hii, Kuingizwa kwa mamluki kwenye vyama vya upinzani, Kuiuzia CCM ajenda zilizoijenga Upinzani hivyo CCM kuwa kama chama cha upinzani kwenye mikutano yao ya kampeni 2015 (Bahati nzuri CCM wamebadirika na kufanya masahihisho ya kutosha kwenye namna ya kuongoza nchi na chama chao hivyo kupata wafuasi wapya)
SASA HALI IKOJE,
*Ni kweli waTanzania wengi wanatamani mabadiriko kwenye siasa zao na katiba yao
*Wengi wamechoka kuiona CCM mabadarakani, na kutaka mbadala.
*Pamoja na kwamba huo ni mtaji mkubwa sana kwa upinzani nchi hii, Upinzani bado haujitambui, haujijui, umetawaliwa na njaa na wamelala hivyo kuwapa CCM nafasi ya kujirekebisha na kubaki kama chama bora
*Wengi wetu tunajikuta tunashindwa kuunga mkono harakati za upinzani, sababu bado tunakiona chama cha mapinduzi kama chama cha watu wanaojielewa kuliko wengi upinzani.
*Ni wapinzani wachache tu wameweza kuaminiwa na kufanya mambo safi kama ilivyotegemewa pale Chama mbadala kinapo pewa nafasi ya kuongoza, Tumeona jiji la Dar wameishia kutuongezea parking fees tu na kodi za ajabu ajabu na kugombana wao kwa wao kila siku, barabara hazijengwi na huduma zinazid kuwa mbaya. Wabunge wetu wengi wao kama kina Msigwa, Sugu ni aibu hakuna alama wanaacha kwa wananchi wao walio wachagua. Hili linatufanya tuendelee kuwaamini kina PolePole na Chama Chake maana angalau wanafanya mambo yanayoeleweka. Pongezi ziwafikie kina Heche,Lema,Zitto na Prof J wamebaki kuwa mabalozi wazuri.
*Upinzani na Viongozi wao hawaaminiki, Hivyo Raia tuonaona ni bora tuendelee kuiamini CCM ya awamu hii, kuliko lundo la wapinzani wanao endeshwa kwa tamaa zao binafsi za madaraka na pesa, Zaidi ya Nusu ya Viongozi tuliowachagua upinzani 2015 inasemekana wamenunulika, na wachache waliobaki ni kwamba CCM wamewaona si tishio. Kwanini niendelee kuamini Upinzani nchi hii? Wakipewa mamlaka ya kusaini mikataba ya gesi si ndo wataishia kutuuza na sisi?
Ni Bora kukomalia maisha yako, Upinzani nchi hii hauko tayar kuongoza nchi.
Asajile Jr
 
Sio kweli kwamba CCM hatuikatai, tunaikataa sana lakini wanatumia vyombo vya usalama kuminya halo zetu mfano mzuri angalia mchakato wa Katiba mpya ulivyokua wananchi walitaka hv wenyewe wakapindua vile!!
 
Dhambi ya kumuita kikwete dhaifu,mswahili,legelege,anacheka cheka haitawaacha salama mpaka chadema wanaingia kaburini
 
Tatizo lako wewe na Watanzania wengi ni kutoshiriki shughuli za kisiasa na kukaa ukisubiri wengine wafanye uunge mkono au uponde.
Mtu mzima, mwenye angalau kujijua na kushiriki siasa za nchi hii huwezi kulaumu tu.
Umewahi kujiuliza nafasi yako ktk hizi siasa ni ipi? Mchango wako ni upi?
Suluba na matatizo wanayopata wanasiasa wa upinzani unazijua? Mkakati wa watawala kukandamiza wapinzani unaujua?
Jamani, mambo haya si lelemama, hao wapinzani wasaidiwe badala ya kulaumiwa.
Kuna ujinga wa watu kujidai wanaunga mkono juhudi za Rais, kwa nini? Ni kwa sababu wanàtaka maisha bora kwa manufaa yao tu. Ndiyo maana kila anayeenda huko hupewa madaraka.
Hii inaonyesha kwamba, upinzani umeweza kutengeneza watu wanaofaa hadi serikali ikawaona.
Lakini kwa unafiki wetu tunaamini mtu haweza kutumikia nchi àkiwa upinzani.
Tunachokiona sasa ni kwamba ccm haiwezi tena kuzalisha watu makini, wameokoteza mpaka makapi wamemaliza.
Hata matumizi ya dola kwenye vitu vidogo huoni? Hata kutoa na kupokea fomu tu za mgombea hujuma, nalo huoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe wapinzani ndio wameharibu uchumi wa nchi hii! Hao wapinzani ndio wametishia, kutesa na kuua wale wanaokosoa watawala! Wapinzani ndio wanaovunja katiba na kubaka haki za raia nyakati za chaguzi....!
Na kama kweli wananchi wanashindwa kuinyima kura ccm, maana yake wanaipa kura....sasa nguvu kubwa ya polisi ni kwa sababu gani?!
 
Kumbe wapinzani ndio wameharibu uchumi wa nchi hii! Hao wapinzani ndio wametishia, kutesa na kuua wale wanaokosoa watawala! Wapinzani ndio wanaovunja katiba na kubaka haki za raia nyakati za chaguzi....!
Na kama kweli wananchi wanashindwa kuinyima kura ccm, maana yake wanaipa kura....sasa nguvu kubwa ya polisi ni kwa sababu gani?!
Mleta mada ni mwanaccm anayefurahia matunda ya kazi yake. Waache wafurahie kwani kila jambo lina wakati wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIASA ZA UPINZANI zilipokelewa vizuri sana kwa kiasi ambacho hakikutegemewa na watawala wetu kuanzia mwanzoni mwa miaka 90 tulipoanzisha Vyama vingi. Kwa kuangalia tu muamko wa watu hasa hasa vijana wengi na wasomi kwenye uchaguzi wa 1995 (wachache tulioshiriki) ilionyesha dhahili kiu ya waTanzania kutaka mabadiriko kote Bara na Visiwani.
Hili liliwachanganya sana CCM na waasisi wake na ilikuwa ishara nzuri kwa upinzani, ikionyesha dhahili saa ya Ushindi imekaribia. Kwa ujanja wao wakatumia nguvu kubwa na kupenyeza vibaraka walioweza kuhakikisha upinzani hauungani na kuuvunja vunja zaidi.
Siasa za kweli ziliibuka tena 2005 -2010, Upinzani ulibahatisha kuwa na watu makini wenye kujenga hoja nzito na ikaweza kweli kuibua vugu vugu jipya la kutaka Tanzania iliyo chini ya Chama mbadala. Kuacha kule zanzibar ambako CCM wamezoea kuiba kura, inasemekana hata huku bara Upinzani ulishinda au ulikaribia sana kushinda, na hivyo kufanya matokeo yapikwe.
2015 ulikuwa mwaka wao hasa Upinzani kuchukua nchi kimahesabu sababu CCM walishavulugana, Lowassa alikuwa hawezi kubaki kule na destination yake kubwa ilikuwa kujiunga na zitto kabla ya UKAWA kufanya maamuzi ya hovyo kwa kijupendekeza kwa EL, Hivyo kujitoa kafala mambo yote walikuwa wakiyapigania,wakiamini,wameyajenga wakiamini EL atawavusha salama.
Hapa ndipo wengine waliposhuka na kuacha kabisa kuamini siasa za upinzani, viongozi makini walipokatishwa tamaa na siasa za upinzani nchi hii, Kuingizwa kwa mamluki kwenye vyama vya upinzani, Kuiuzia CCM ajenda zilizoijenga Upinzani hivyo CCM kuwa kama chama cha upinzani kwenye mikutano yao ya kampeni 2015 (Bahati nzuri CCM wamebadirika na kufanya masahihisho ya kutosha kwenye namna ya kuongoza nchi na chama chao hivyo kupata wafuasi wapya)
SASA HALI IKOJE,
*Ni kweli waTanzania wengi wanatamani mabadiriko kwenye siasa zao na katiba yao
*Wengi wamechoka kuiona CCM mabadarakani, na kutaka mbadala.
*Pamoja na kwamba huo ni mtaji mkubwa sana kwa upinzani nchi hii, Upinzani bado haujitambui, haujijui, umetawaliwa na njaa na wamelala hivyo kuwapa CCM nafasi ya kujirekebisha na kubaki kama chama bora
*Wengi wetu tunajikuta tunashindwa kuunga mkono harakati za upinzani, sababu bado tunakiona chama cha mapinduzi kama chama cha watu wanaojielewa kuliko wengi upinzani.
*Ni wapinzani wachache tu wameweza kuaminiwa na kufanya mambo safi kama ilivyotegemewa pale Chama mbadala kinapo pewa nafasi ya kuongoza, Tumeona jiji la Dar wameishia kutuongezea parking fees tu na kodi za ajabu ajabu na kugombana wao kwa wao kila siku, barabara hazijengwi na huduma zinazid kuwa mbaya. Wabunge wetu wengi wao kama kina Msigwa, Sugu ni aibu hakuna alama wanaacha kwa wananchi wao walio wachagua. Hili linatufanya tuendelee kuwaamini kina PolePole na Chama Chake maana angalau wanafanya mambo yanayoeleweka. Pongezi ziwafikie kina Heche,Lema,Zitto na Prof J wamebaki kuwa mabalozi wazuri.
*Upinzani na Viongozi wao hawaaminiki, Hivyo Raia tuonaona ni bora tuendelee kuiamini CCM ya awamu hii, kuliko lundo la wapinzani wanao endeshwa kwa tamaa zao binafsi za madaraka na pesa, Zaidi ya Nusu ya Viongozi tuliowachagua upinzani 2015 inasemekana wamenunulika, na wachache waliobaki ni kwamba CCM wamewaona si tishio. Kwanini niendelee kuamini Upinzani nchi hii? Wakipewa mamlaka ya kusaini mikataba ya gesi si ndo wataishia kutuuza na sisi?
Ni Bora kukomalia maisha yako, Upinzani nchi hii hauko tayar kuongoza nchi.
Asajile Jr
 
Mleta mada inawexekana ni Polepole ama Tulia Kwa sababu amewaponda Sugu na Msigwa kwani ccm wamewania sana Mbeya mjini na Iringa mjini. Pole zao tunajua unafiki wao wa kuuma na kupuliza. Kumbe wanajua kuwa ccm haipendwi!!
Ila ni nani kakuambia kuwa chadema haifanyi kitu. Umeona chadema wanakusanya kodi ya wananchi? Mumezoea uwongo tu!
 
SIASA ZA UPINZANI zilipokelewa vizuri sana kwa kiasi ambacho hakikutegemewa na watawala wetu kuanzia mwanzoni mwa miaka 90 tulipoanzisha Vyama vingi. Kwa kuangalia tu muamko wa watu hasa hasa vijana wengi na wasomi kwenye uchaguzi wa 1995 (wachache tulioshiriki) ilionyesha dhahili kiu ya waTanzania kutaka mabadiriko kote Bara na Visiwani.
Hili liliwachanganya sana CCM na waasisi wake na ilikuwa ishara nzuri kwa upinzani, ikionyesha dhahili saa ya Ushindi imekaribia. Kwa ujanja wao wakatumia nguvu kubwa na kupenyeza vibaraka walioweza kuhakikisha upinzani hauungani na kuuvunja vunja zaidi.
Siasa za kweli ziliibuka tena 2005 -2010, Upinzani ulibahatisha kuwa na watu makini wenye kujenga hoja nzito na ikaweza kweli kuibua vugu vugu jipya la kutaka Tanzania iliyo chini ya Chama mbadala. Kuacha kule zanzibar ambako CCM wamezoea kuiba kura, inasemekana hata huku bara Upinzani ulishinda au ulikaribia sana kushinda, na hivyo kufanya matokeo yapikwe.
2015 ulikuwa mwaka wao hasa Upinzani kuchukua nchi kimahesabu sababu CCM walishavulugana, Lowassa alikuwa hawezi kubaki kule na destination yake kubwa ilikuwa kujiunga na zitto kabla ya UKAWA kufanya maamuzi ya hovyo kwa kijupendekeza kwa EL, Hivyo kujitoa kafala mambo yote walikuwa wakiyapigania,wakiamini,wameyajenga wakiamini EL atawavusha salama.
Hapa ndipo wengine waliposhuka na kuacha kabisa kuamini siasa za upinzani, viongozi makini walipokatishwa tamaa na siasa za upinzani nchi hii, Kuingizwa kwa mamluki kwenye vyama vya upinzani, Kuiuzia CCM ajenda zilizoijenga Upinzani hivyo CCM kuwa kama chama cha upinzani kwenye mikutano yao ya kampeni 2015 (Bahati nzuri CCM wamebadirika na kufanya masahihisho ya kutosha kwenye namna ya kuongoza nchi na chama chao hivyo kupata wafuasi wapya)
SASA HALI IKOJE,
*Ni kweli waTanzania wengi wanatamani mabadiriko kwenye siasa zao na katiba yao
*Wengi wamechoka kuiona CCM mabadarakani, na kutaka mbadala.
*Pamoja na kwamba huo ni mtaji mkubwa sana kwa upinzani nchi hii, Upinzani bado haujitambui, haujijui, umetawaliwa na njaa na wamelala hivyo kuwapa CCM nafasi ya kujirekebisha na kubaki kama chama bora
*Wengi wetu tunajikuta tunashindwa kuunga mkono harakati za upinzani, sababu bado tunakiona chama cha mapinduzi kama chama cha watu wanaojielewa kuliko wengi upinzani.
*Ni wapinzani wachache tu wameweza kuaminiwa na kufanya mambo safi kama ilivyotegemewa pale Chama mbadala kinapo pewa nafasi ya kuongoza, Tumeona jiji la Dar wameishia kutuongezea parking fees tu na kodi za ajabu ajabu na kugombana wao kwa wao kila siku, barabara hazijengwi na huduma zinazid kuwa mbaya. Wabunge wetu wengi wao kama kina Msigwa, Sugu ni aibu hakuna alama wanaacha kwa wananchi wao walio wachagua. Hili linatufanya tuendelee kuwaamini kina PolePole na Chama Chake maana angalau wanafanya mambo yanayoeleweka. Pongezi ziwafikie kina Heche,Lema,Zitto na Prof J wamebaki kuwa mabalozi wazuri.
*Upinzani na Viongozi wao hawaaminiki, Hivyo Raia tuonaona ni bora tuendelee kuiamini CCM ya awamu hii, kuliko lundo la wapinzani wanao endeshwa kwa tamaa zao binafsi za madaraka na pesa, Zaidi ya Nusu ya Viongozi tuliowachagua upinzani 2015 inasemekana wamenunulika, na wachache waliobaki ni kwamba CCM wamewaona si tishio. Kwanini niendelee kuamini Upinzani nchi hii? Wakipewa mamlaka ya kusaini mikataba ya gesi si ndo wataishia kutuuza na sisi?
Ni Bora kukomalia maisha yako, Upinzani nchi hii hauko tayar kuongoza nchi.
Asajile Jr
Inasikitisha mno unapokuwa mada nzuri kama hii halafu unakuwa ni mchoyo wa Facts,mkuu unaelewa kuwa CCM bila vyombo vya ulinzi na usalama kutumika kwa faida yao,wakashaondolewa madarakani au winning majority yao ingekuwa imeshasukumwa chini ya 50%,Mkuu unaelewa kuwa NEC haipo huru na jiulize nani anaunda hii tume?je hii tume inawatumishi katika ngazi zote za utawala?je ni haki political deployments wa ruling party kuwa ndio wasimamizi wa uchaguzi?je vyama vya kisiasa vimepewa level moja ya kuendesha mambo yao bila ya kuingiliwa na serikali iliyopo madarakani?,je muhimili wa Bunge upo kuhakikisha kuwa serikali inafanya kazi zake kwa wajibu wa kisheria au ni rubber stamp ya mpangaji mkuu wa magogoni?elewa alwayas TIME na HISTORY ni waamuzi wa haki na ipo siku ukweli utajulikana;na tunaanza kushuhudia ukweli nini hasa kilikuwa kinatokea kwa vyama hivi vya kikombozi kwenye ukanda wetu,SWAPO pale Namibia walifanya mauaji makubwa mno kwa wapiganaji wake ,walijitahidi kuficha ila now wameanikwa bila nguo(soma kitabu cha SWAPO CAPTIVE,Experience of Betrayal and Torture by OLIVA ANGULA),pia hapo Zimbabwe ukweli umeshaanza kutoka ,wapiganaji wake mara kadha walitarget ndege za abiria wakati wanajua zimebeba raia na watoto wao,walifanikiwa kuziangusha baadhi na kuwauwa abiria wote walionusurika na kuendelea kujiita ni freedoms fighters,ipo siku ukweli utajulikana kuhusu hali ya kisiasa nchini mwetu kwa sasa,wewe mkuu endelea kuzika kichwa chako chini ya mchanga na kujifanya hujui ukweli.
 
Sio kweli kwamba CCM hatuikatai, tunaikataa sana lakini wanatumia vyombo vya usalama kuminya halo zetu mfano mzuri angalia mchakato wa Katiba mpya ulivyokua wananchi walitaka hv wenyewe wakapindua vile!!
sikatai hili kaka, juhudi zozote kama hizo zinahitaji uongozi imara sio huu unao nunulika kila uchwao
 
Tatizo lako wewe na Watanzania wengi ni kutoshiriki shughuli za kisiasa na kukaa ukisubiri wengine wafanye uunge mkono au uponde.
Mtu mzima, mwenye angalau kujijua na kushiriki siasa za nchi hii huwezi kulaumu tu.
Umewahi kujiuliza nafasi yako ktk hizi siasa ni ipi? Mchango wako ni upi?
Suluba na matatizo wanayopata wanasiasa wa upinzani unazijua? Mkakati wa watawala kukandamiza wapinzani unaujua?
Jamani, mambo haya si lelemama, hao wapinzani wasaidiwe badala ya kulaumiwa.
Kuna ujinga wa watu kujidai wanaunga mkono juhudi za Rais, kwa nini? Ni kwa sababu wanàtaka maisha bora kwa manufaa yao tu. Ndiyo maana kila anayeenda huko hupewa madaraka.
Hii inaonyesha kwamba, upinzani umeweza kutengeneza watu wanaofaa hadi serikali ikawaona.
Lakini kwa unafiki wetu tunaamini mtu haweza kutumikia nchi àkiwa upinzani.
Tunachokiona sasa ni kwamba ccm haiwezi tena kuzalisha watu makini, wameokoteza mpaka makapi wamemaliza.
Hata matumizi ya dola kwenye vitu vidogo huoni? Hata kutoa na kupokea fomu tu za mgombea hujuma, nalo huoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo linaonyesha udhaifu mkubwa sana wa wapinzani, kama wameweza kutusaliti kwa zaidi ya nusu ya viongozi tulio wachagua 2015, Ni nani wa kuaminiwa huko?
Mwisho wa siku tuna generalize tu kuwa wapinzani au wanasiasa wote ni njaa zinawasumbua.
Ukisema mateso wanayopata kama wapinzani siyajui unakuwa unakosea, Mimi nilie waamini nateseka zaidi na maamuzi yao sasa, Pili sijachagua mkondo huo kuwa kula yangu, Nahangaika na nateseka zaidi kwa kushika chaki niweze kula.
 
Back
Top Bottom