Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,307
- 8,647
Labda Huenda wewe umebobea katika kitu Fulani, labda ndio career yako ni vema ujifunze mambo mengine madogo madogo!
Mfano mimi Nasoma Civil, ila ninajifunza Programming....najifunza namna ya ku crack software, najifunza namna ya kutengeneza injini ya gari!
Tujifunze....Ujuzi Hauzeeki!
Mfano mimi Nasoma Civil, ila ninajifunza Programming....najifunza namna ya ku crack software, najifunza namna ya kutengeneza injini ya gari!
Tujifunze....Ujuzi Hauzeeki!