Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power)

Marekani wenyewe bado wanatumia H.E.P
Kwenye baadhi ya miji

Ova
 
Pamoja na kwamba Taifa la Norway lina kiwango kikubwa cha gesi linategemea kwa kiasi kikubwa umeme wa maji (Hydroelectric power)

Kwenye suala la umeme uchaguzi wa kutumia umeme wa maji (hydroelectric power) ni bora zaidi ukilinganisha na vyanzo vingine vya umeme.

Nchi ya Norway ni moja ya nchi duniani inayotegemea pia uchumi wa gesi. Lakini pamoja na kwamba Norway wana kiwango kikubwa cha gesi lakini bado umeme wa maji umekuwa wa gharama nafuu na ndio unatumika sana kama chanzo cha umeme.

Kwa Norway umeme wa gesi huwa wanautumia kipindi cha baridi pale ambapo umeme wa maji umezidiwa.

Gesi ni nishati ambayo mara nyingi ni nzuri kwa matumizi ya kupikia. Hivyo mimi nadhani kama serikali ina nia ya kuendeleza uchumi wa gesi. Basi ijikite kuitumia hiyo gesi katika mambo mengine mfano kupikia, na kuanzisha viwanda vinavyotumia gesi asilia. Mfano viwanda vya mbolea ni viwanda ambavyo hutumia gesi asilia kuzalisha mbolea.

Pamoja na kwamba tutaitumia gesi pia kuzalishia umeme lakini tuyape maji kipaumbele cha kwanza kwasababu maji ni bure na pia ni renewable resources. Na uzuri ni kwamba geographia ya taifa letu tumejaliwa vyanzo vingi vya maji, hivyo tukizitumia akili zetu vizuri tutaweza kufanya vizuri hata dunia ikatushangaa.

View attachment 1748264View attachment 1748265View attachment 1748266View attachment 1748267View attachment 1748268
Genius Magufuli akisema kitu sijiulizi mara mbili. Sababu najua katanguliza uzalendo na watanzania wote.

Alishaongea hydropower is the best na jawabu la matatizo yetu ukiangalia mazingira yetu.

Lakini wengine wanaongea kwa misukumo ya ubinafsi, kulipiza kisasi, kutumbuliwa, kuminywa mirija ya wizi na utapeli, kujifanya wamesoma sana, upinzani nk.
 
Geneva, Switzerland

Russia's War on Ukraine, Shows the need for an urgent Energy Mix push​

Analysing the impacts of Russia's invasion of Ukraine on global energy markets
Gettyimages 466843856

Russia's War on Ukraine

Russia is a major player in global energy markets. It is one of the world’s top three crude producers, vying for the top spot with Saudi Arabia and the United States. Russia relies heavily on revenues from oil and natural gas, which in 2021 made up 45% of Russia’s federal budget.

Russia is also the world’s second-largest producer of natural gas, behind the United States, and has the world’s largest gas reserves. Russia is the world’s largest gas exporter. In 2021 the country produced 762 bcm of natural gas, and exported approximately 210 bcm via pipeline.

Russia is one of the world’s top oil producers and exporters and a giant in natural gas markets​

Since the start of the crisis, the IEA has been monitoring the implications of Russia's invasion of Ukraine for global energy markets. During an Extraordinary Governing Board, which was held at Ministerial level on 1 March 2022, IEA member countries agreed to release 60 million barrels of oil from their emergency reserves to send a unified and strong message to global oil markets that there will be no shortfall in supplies as a result of Russia’s invasion of Ukraine.

The coordinated drawdown is the fourth in the history of the IEA, which was created in 1974. Previous collective actions were taken in 2011, 2005 and 1991. IEA members hold emergency stockpiles of 1.5 billion barrels. The announcement of an initial release of 60 million barrels is equivalent to 2 million barrels a day for 30 days.

The IEA also released a 10-Point Plan for how European countries can reduce their reliance on Russian gas supplies by next winter, as well as a 10-Point Plan to Cut Oil Use within four months.

Source : Russia's War on Ukraine – Topics - IEA
 
An official EU websitehttps://ec.europa.eu/commission/presscorner/#globan-dropdown-va0gax8099b
8 March 2022
Strasbourg

REPowerEU: Joint European action for more affordable, secure and sustainable energy​


The European Commission has today proposed an outline of a plan to make Europe independent from Russian fossil fuels well before 2030, starting with gas, in light of Russia's invasion of Ukraine.

This plan also outlines a series of measures to respond to rising energy prices in Europe and to replenish gas stocks for next winter. Europe has been facing increased energy prices for several months, but now uncertainty on supply is exacerbating the problem. REPowerEU will seek to diversify gas supplies, speed up the roll-out of renewable gases and replace gas in heating and power generation. This can reduce EU demand for Russian gas by two thirds before the end of the year.

Commission President Ursula von der Leyen said: “We must become independent from Russian oil, coal and gas. We simply cannot rely on a supplier who explicitly threatens us. We need to act now to mitigate the impact of rising energy prices, diversify our gas supply for next winter and accelerate the clean energy transition. The quicker we switch to renewables and hydrogen, combined with more energy efficiency, the quicker we will be truly independent and master our energy system. I will be discussing the Commission's ideas with European leaders at Versailles later this week, and then working to swiftly implement them with my team.”

Executive Vice-President for the European Green Deal, Frans Timmermans said: “It is time we tackle our vulnerabilities and rapidly become more independent in our energy choices. Let's dash into renewable energy at lightning speed. Renewables are a cheap, clean, and potentially endless source of energy and instead of funding the fossil fuel industry elsewhere, they create jobs here. Putin's war in Ukraine demonstrates the urgency of accelerating our clean energy transition.”

Commissioner for Energy, Kadri Simson, said: “Russia's invasion of Ukraine has aggravated the security of supply situation and driven energy prices to unprecedented levels. For the remaining weeks of this winter, Europe has sufficient amounts of gas, but we need to replenish our reserves urgently for next year. The Commission will therefore propose that by 1 October, gas storage in the EU has to be filled up to at least 90%. We have also outlined price regulation, state aid and tax measures to protect European households and businesses against the impact of the exceptionally high prices.”

Emergency measures on energy prices and gas storage

The Commission's ‘Energy Prices Toolbox' from last October has helped Member States to mitigate the impact of high prices on vulnerable consumers and it remains an important framework for national measures. Today the Commission is presenting Member States with additional guidance, confirming the possibility to regulate prices in exceptional circumstances, and setting out how Member States can redistribute revenue from high energy sector profits and emissions trading to consumers.

EU State Aid rules also offer Member States options to provide short-term support to companies affected by high energy prices, and help reduce their exposure to energy price volatility in the medium to long term. Following a consultation on targeted amendments to the Emission Trading System State aid Guidelines, the Commission will also be consulting with Member States on the needs for and scope of a new State aid Temporary Crisis Framework to grant aid to companies affected by the crisis, in particular those facing high energy costs.
The Commission intends to present by April a legislative proposal requiring underground gas storage across the EU to be filled up to at least 90% of its capacity by 1 October each year.

The proposal would entail the monitoring and enforcement of filling levels and build in solidarity arrangements between Member States. The Commission continues its investigation into the gas market in response to concerns about potential distortions of competition by operators, notably Gazprom.

To address the skyrocketing energy prices, the Commission will look into all possible options for emergency measures to limit the contagion effect of gas prices in electricity prices, such as temporary price limits. It will also assess options to optimise the electricity market design taking into account the final report of the EU Agency for the Cooperation of Energy Regulators (ACER) and other contributions on benefits and drawbacks of alternative pricing mechanisms to keep electricity affordable, without disrupting supply and further investment in the green transition.

REPowerEU – eliminating our dependence on Russian gas before 2030
Phasing out our dependence on fossil fuels from Russia can be done well before 2030. To do so, the Commission proposes to develop a REPowerEU plan that will increase the resilience of the EU-wide energy system based on two pillars: Diversifying gas supplies, via higher Liquefied Natural Gas (LNG) and pipeline imports from non-Russian suppliers, and larger volumes of biomethane and renewable hydrogen production and imports; and, reducing faster the use of fossil fuels in our homes, buildings, industry, and power system, by boosting energy efficiency, increasing renewables and electrification, and addressing infrastructure bottlenecks.

Full implementation of the Commission's ‘Fit for 55' proposals would already reduce our annual fossil gas consumption by 30%, equivalent to 100 billion cubic metres (bcm), by 2030. With the measures in the REPowerEU plan, we could gradually remove at least 155 bcm of fossil gas use, which is equivalent to the volume imported from Russia in 2021. Nearly two thirds of that reduction can be achieved within a year, ending the EU's overdependence on a single supplier.

The Commission proposes to work with Member States to identify the most suitable projects to meet these objectives, building on the extensive work done already on national Recovery and Resilience Plans.

Background
The new geopolitical and energy market reality requires us to drastically accelerate the clean energy transition and increase Europe's energy independence from unreliable suppliers and volatile fossil fuels.

Following the invasion of Ukraine, the case for a rapid clean energy transition has never been stronger and clearer. The EU imports 90% of its gas consumption, with Russia providing around 45% of those imports, in varying levels across Member States. Russia also accounts for around 25% of oil imports and 45% of coal imports.

The Commission's Energy Prices Toolbox of October 2021 has been helping citizens and businesses to face high energy prices in recent months. 25 Member States have adopted measures in line with the toolbox which are already easing energy bills for over 70 million household customers and several million micro, small and medium-sized enterprises.

The Commission continues to work with neighbours and partners in the Western Balkans, and in the Energy Community, which share the EU's fossil fuel dependencies and exposure to price hikes, while also having committed to the same long term climate goals. For Ukraine, Moldova and Georgia, the EU stands ready to provide support to ensure reliable and sustainable energy.

The ongoing effort to provide for an emergency synchronisation of the Ukrainian and Moldovan electricity grids with the continental European grid is a clear token of this commitment.
For More Information
Communication on REPowerEU: Joint European action for more affordable, secure and sustainable energy
Questions & Answers
Factsheet - REPowerEU
European Green Deal website
EU Support to Ukraine website

Source : Press corner

 
07 December 2022

UMEME WA MABWAWA YA MAJI NCHI ZA TROPIKI / JOTO SIYO SULUHISHO LA KUPATA UMEME WA KUAMINIKA

Zimbabwe yakumbwa na upungufu wa umeme, mgao mkali.

President Mnangagwa Not Happy With The Power Crisis In Zimbabwe
Hili ndilo tatizo kwa nchi za tropiki kutegemea umeme utokanao na nishati ya maporomoko ya maji katiba mabwawa ya maji.

Rais Mnangagwa wa Zimbabwe hajafurahishwa na hali hiyo ya mgao ingawa ni janga la asili lililotegemewa tofauti na nchi za kaskazini zenye theluji, barafu, mito iliyoganda n.k kama Norway 🇳🇴 ambapo joto likiongezeka maji huongezeka kumiminika katika mabwawa ya kuzalisha umeme

Nchi ya Zimbabwe ina mito mingi ikiwemo mmoja wa Zambezi River miongoni mwa mito mikubwa ya maji Africa pamoja na bwawa kubwa la Kariba Dam la uzalishaji umeme lakini ukame umesababisha kina cha bwawa la Kariba kupungua na kusababisha mgao mkali wa saa 19 kila siku kwa wananchi wa Zimbabwe.

POWER CRISIS: Zimbabweans endure 19 hours a day without electricity; only available between midnight & 4am for most people​

7th December 2022 Top Story

1670535772081.png



By Bloomberg News


HARARE: Zimbabweans are being subjected to 19 hours of power cuts a day, because there is insufficient water in the Kariba dam to drive the nation’s main hydropower plant.

The worst outages since 2019 are wreaking havoc, causing snarl-ups in Harare, the capital, where most traffic lights are no longer working, and interrupting mobile phone services because batteries used to run base stations don’t have time to recharge.

Supermarkets, restaurants and some other businesses rely on generators to keep operating, but they are unable to run them perpetually for an extended period.

“Kariba generates almost half of our power needs, which is why a reduction in its generation capacity immediately registers throughout our economy and in our lives,” Zimbabwean President Emmerson Mnangagwa wrote in his weekly column in state media on Sunday.


The level of usable water in Kariba, which is the world’s largest man-made reservoir and is tapped by both Zambia and Zimbabwe, stood at 4.1% as of Nov. 28, a record low, according to the Zambezi River Authority, which manages water supply for the two southern African nations.

Zimbabwe has used up its water allocation from Kariba this year and was drawing 200 megawatts of power from the dam’s hydropower plant on Monday, less than a fifth of the installed capacity it should be able to access, according to data on the Zimbabwe Power Company website.

“Kariba will not shut down completely,” Soda Zhemu, the energy minister, said in an emailed statement.

The authorities plan to increase power imports from South Africa and Mozambique, and ramp up production from its antiquated coal-fired power stations in Hwange to at least 400MW to help add capacity to the grid, he said.

Zambia will start rolling blackouts from 15 December that will last for six hours at a stretch and only affect residential areas, Energy Minister Peter Kapala, told legislators on 2 December
 
03 December 2022
Lusaka, Zambia 🇿🇲

Zambia govt to ration electricity supply to domestic consumers after drop in water levels of lake Kariba​


In Zambia, Energy Minister Peter Kapala said yesterday, December 2, that government will start rationing electricity supply to domestic consumers from the 15th of December 2022 following a big drop in water levels in lake Kariba.

Mr. Kapala told that water levels in the lake have dropped to 4.1 percent of usable storage for the Kariba North Bank Power Station in Zambia and the Kariba South Bank on the Zimbabwean side of the lake.

He said, the low water level situation in lake Kariba threatens the power generation from both the Kariba North Bank Hydropower station and Kariba South Bank Hydropower station.

Water levels in the lake have fallen due to reduced inflows from the Zambezi river and its tributaries and heavy use by power generation companies in Zambia and Zimbabwe.

According to reports, Hydropower contributes more than 75 percent of Zambia’s power generation.
 

CHANGAMOTO ZA UPUNGUFU WA UMEME ZAPATIWA UFUMBUZI​


Video courtesy of Azam TV

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeelezea sababu za uwepo wa upungufu wa umeme kuwa unasababishwa na ukame pamoja na matengenezo kinga na marekebisho makubwa kwenye vituo na mitambo, na kusababisha upungufu wa jumla ya megawati 300 hadi 350 za umeme kwa siku za hivi karibuni.
Akizungumza na waandishi wa vyombo vya habari hivi karibuni, Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Bw. Maharage Chande alisema upungufu wa umeme unasababishwa na ukame pamoja na matengenezo ya mitambo.

“Upungufu huu unasababishwa na mambo makubwa mawili, ukame mkubwa ambao nchi yetu inapitia na matengenezo kinga na marekebisho makubwa ya mitambo ambayo ni lazima yafanyike” alifafanua Bw. Chande.

Aidha, Bw. Chande aliviainisha vituo vya kufua umeme vilivyoathiriwa na ukame ambavyo ni Kihansi kinachozalisha megawati 17 badala ya megawati 180 kwa hiyo megawati 163 hazizalishwi; Pangani kinachozalisha megawati 10 badala ya megawati 68 kwa hiyo megawati 58 hazizalishwi.

Vituo vingine ni Mtera kinachozalisha megawati 75 badala ya megawati 80 kwa hiyo megawati 5 hazizalishwi na Nyumba ya Mungu kinachozalishaji megawati 3 badala ya megawati 8 za umeme, kwa hiyo megawati 5 hazizalishwi.

Vilevile, Bw. Chande alivitaja vituo vilivyo katika matengenezo kinga kuwa ni Kidatu kinachozalisha megawati 150 badala ya megawati 200, kwa hiyo megawati 50 hazizalishwi; Ubungo III kinachozalisha megawati 37 badala ya megawati 112, kwa hiyo megawati 75 hazizalishwi.

Kituo kingine ni Kinyerezi II kinachozalisha megawati 205 badala ya megawati 237, kwa hiyo megawati 32 hazizalishwi. Alifafanua jumla ya umeme ambao hauzalishwi kwa sababu ya ukame na matengenezo ni megawati 388 za umeme hadi kufikia 23 Novemba 2022.

Akieleza mipango ya muda mfupi ya kunusuru hali ya upungufu wa umeme, Bw. Chande alisema ni kuharakisha matengenezo ya mtambo katika kituo cha Ubungo III ili kuingiza megawati 35 za umeme hadi kufikia leo, kuharakisha matengenezo ya mitambo miwili ya Ubungo III ili kuingiza megawati 40 za umeme mwishoni mwa mwezi Disemba 2022.

Sambamba na kukamilisha matengenezo ya mtambo mmoja wa kituo cha Kidatu ili kuingiza megawati 50 za umeme tarehe 30 Novemba 2022 pamoja na kuharakisha ufungaji wa mitambo miwili katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi I ili kuingiza megawati 90 za umeme kabla ya mwisho wa mwezi Disemba 2022.

“Iwapo matengenezo haya yatakamilika kama yalivyopangwa, yatatupatia jumla ya megawati 277 kwenye uzalishaji na kupunguza kadhia hii ya umeme,” alisisitiza Bw. Chande.

Aidha, Bw. Chande alisema juhudi za muda wa kati ni ukamilishaji wa ufungaji wa mtambo mwingine katika kituo cha upanuzi cha Kinyerezi I ili uanze kufanya kazi ili tuingize megawati 90 za umeme kwenye uzalishaji ifikapo mwezi Februari 2023 na kufikisha jumla ya megawati 337 za umeme.

Akihitimisha, Mkurugenzi Mtendaji alisema jitihada za muda mrefu ni kuharakisha ujenzi wa bwawa la Julius Nyerere.
“Hatua za muda mrefu ambazo ni zaidi ya miezi 12 mpaka 18, ni matumaini yetu, nguvu zetu na nia yetu bwawa la Julius Nyerere likamilike ili upungufu wa umeme uwe umekwisha” alihitimisha Bw. Chande

Source : TANESCO - CHANGAMOTO ZA UPUNGUFU WA UMEME ZAPATIWA UFUMBUZI
 
Back
Top Bottom