Pamoja na kwamba mimi ni Certified Player sijawahi kununua wanawake wanaojiuza barabarani.

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,433
17,070
Pamoja na kwamba mimi ni Certified Player, kununua wanawake wanaojiuza barabarani hapana.

Kuna msemo usemao wanawake wote wanajiuza isipokua mama yako, ila kununua malaya au makahaba wanaojiuza barabarani sijawahi na sitarajii.

Sio kwamba naowatafuna sio malaya, wanaweza kua malaya ila wanawake wanaojiuza barabarani au kama wale mkabala na mwananyamala hospitali siwezi aisee.

Mnaonunua ile mazaga mnapata wapi ujasiri wa kwenda kula watu namna ile ili nami angalau siku moja nijaribu.

Heri ya mwaka mpya 2017.
 
Aliyekwambia hauwanunui ni nani,wewe unawanunua kabla hawajaingia barabarani(kumbuka jana yake walikua barabarani)hivyo hauna tofauti na wateja wengine. SIFA NYINGINE BANA(eti unajiita certified player)
 
Basi hapo unajiona mjaaanja kumbe ujinga tu.Achana na hizo mambo mkuu,tafuta demu wako mmoja tulia. Hizo hela unazozitumia kwa hao wanawake bora ungemsaidia ndugu yako. Ni ushauri tu mkuu. Anza mwaka mpya na akili mpya ya kufikiri.
 
mbona ata hap jf wapo wanafanya biashara tu ni wew mpaka uwafuate sinza ambince
 
I doubt you really know what makes a playa, let alone a certified one. It's only tight grilled dudes that pay to beat the gut, cos they got no game. Playas get around smoothly.
 
Mkuu bora hujawi nunua yale ya kujipanga
Show time utajutia pesa yako k kavu balaaa

Wengine wababe kisenge..utasikia ongeza pesa nikupr mastyle na.mbwembwd kibao

Kiufupi madada poa wa kujipanga hawana ladha aisee bora wale wavyumban kwao..

Wakununua ni bora wahudumu wa bar,madent wa chuo hall3, na cbe &ifm kumit clun savana,bill nk

Au wa ardh,udsm na tumain kuwakuta bulls park,karabash nk


Ika magoma kama ambiance,kona.bar,kangaroo,rambo mazense nk ni jipu hawafai bora usijalibu mkuu


But nwdays kuna kaz kwelikweli ukizoea kutomba wauza bar au malaya huo mzimu utakifwata popote pale...hata ukiwa church ukitongoza dem.kuuliza kaz bar maid,kitaa ukimfuma manz mstaarabu ila kuja kujua kaz yake bar maid wakijiuza tena

Ni kama wanalaaana waisee

Komaaa mkuu ila usipende manz wa kununua japo wote sasa hv tunawanunua wapo wanao taja kiasi direct na.wale wakuficha ficha...wanaume tuna.kaz sana kutofaut msichana yupi malaya yupi kahaba na yupi anajielewa..

Nashukuru ukimwi haupatikan kwa njiansex
 
Aliyekwambia hauwanunui ni nani,wewe unawanunua kabla hawajaingia barabarani(kumbuka jana yake walikua barabarani)hivyo hauna tofauti na wateja wengine. SIFA NYINGINE BANA(eti unajiita certified player)
Mkuu sio najiita, ni taaluma yangu, nimetunukiwa cheti cha juu kabisa katka hayo mambo.

Ingawa taasisi iliyonipa hicho cheo haitambuliwi na TCU wala NACTE. Hii ni kutokana na kwamba kazi yenyewe bado haijahalalishwa na serikali.
 
Back
Top Bottom