Watanzania tusingekuwa wanafiki, basi wote tungepaza sauti kupinga kitendo kilichofanywa na Serikali kwa kutoa amri ya kulimit internet access, lakini kwa sababu ya hofu, watu wengi wanaumia moyoni huku wakiamua kushangalia na kupongeza ushindi wa kishindo kwa Chama cha Mapinduzi.
Lakini tuseme ukweli kila mtu ameathirika na kitendo hiki na ukizingatia kuwa hakukuwa na sababu ya kuzuia internet, badala yake walitakiwa kuandaa mazingira ya uchaguzi huru na haki ambao ungewaacha watu wote wakiwa wameridhika na kila aina ya matokeo.
CCM walijua kuwa uchaguzi hautakuwa Huru na Haki hivyo kuna kila dalili za watu kuyakataa matokeo hivyo.
Lakini tuseme ukweli kila mtu ameathirika na kitendo hiki na ukizingatia kuwa hakukuwa na sababu ya kuzuia internet, badala yake walitakiwa kuandaa mazingira ya uchaguzi huru na haki ambao ungewaacha watu wote wakiwa wameridhika na kila aina ya matokeo.
CCM walijua kuwa uchaguzi hautakuwa Huru na Haki hivyo kuna kila dalili za watu kuyakataa matokeo hivyo.