Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Kwa hulka yao ya ubishi na kiburi wanaweza kudharau maono haya nisemayo, lakini msamaha mkubwa wa dhambi nyingi walizo watendea Watanzania na hasa viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani ni kuhakikisha kuwa uchaguzi mkuu 2020 unakuwa huru na haki huku ukisimamiwa na chombo makini chenye kuhushimu raia.
Kwa uchaguzi huru, hata kama CCM itashinda itaheshimiwa na maisha yatasonga mbele bila kikwazo chochote kile.
Lakini kujifanya ujuaji, umwamba na ubabaishaji hasira za wananchi zitazidi na sio ajabu mambo ambayo hayajawahi kufikiriwa yakatokea.
Wenzetu yaliyowakumba walijifikiria wajanja lakini waliishia kupoteza maisha, kupata vilema, ukimbizi na maisha duni yasiyo amani.
Kwa uchaguzi huru, hata kama CCM itashinda itaheshimiwa na maisha yatasonga mbele bila kikwazo chochote kile.
Lakini kujifanya ujuaji, umwamba na ubabaishaji hasira za wananchi zitazidi na sio ajabu mambo ambayo hayajawahi kufikiriwa yakatokea.
Wenzetu yaliyowakumba walijifikiria wajanja lakini waliishia kupoteza maisha, kupata vilema, ukimbizi na maisha duni yasiyo amani.