Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Why not? Btw mzima wewe?Samahani MJ1.....my sis!!
Hivi eti na mi naruhusiwa ku-comment hapa?!!!
I'm jus thinkin....
Ntarudi tena kwa ajili ya topic ya Mj1 ngoja nirethink!
Why not? Btw mzima wewe?Samahani MJ1.....my sis!!
Hivi eti na mi naruhusiwa ku-comment hapa?!!!
I'm jus thinkin....
kweli una miss vitu vingi sana,
kufumaniwa na kufumania,
kuwa na nyumba ndogo ambayo unajitahidi kuonyesha huko utundu wote ambao nyumbani dhubutu!
kufuta sms unapokaribia nyumbani!hiyo nikama sala husahau
kugombana na kuombana msamaha nk na nk
confusing how?
do you know that some people cant be single because of
high sex drive?they need it everyday almost....
so these type of people once they find a partner who is really good in bed
they put up with whatever abuse or mistreatment they will receive....its a fact..
Thanx my sis! Binafsi I think wat matters is wat makes u happy, alone or not alone, if u think that u are missing somethin...and u have an apportunity to get it back then go for it! Otherwise, I hv seen single mothers - live n happy, wengine by pretending that they are! But at the end of the day they become devastated, sasa why all such trouble...?Ooh Baby Gal........yes you are allowed kabisa though we know unaweza ukawa biase but tutakuelewa!!
Pope my dear....umechelewa!! Dada alisha grant access.... Hapo kwenye mabano na mi pia!On her behalf, no.....huruhusiwi....kuna conflict of interest (aluu have missed you luv )
Aisee mwanajamiiwan,
Nakumbuka bibi yako alichukua likizo, akasafiri. Alinambia atakuwa kwa mama yangu for two weeks then atakam baki. Nikamwambia aongeze wiki moja (Msisitizo:Mtu hamjaonana mwaka mzima afu ukae naye wiki mbili tu?) Bibi ako akaona logic akakubali. babu yako nkafurahi zangu kwa kuwa nimepata uhuru wa kujifaragua na kina Eliza na bidhaa zao.
Hakuna wa kuniuliza uko wapi.......Mbona umechelewa kurudi........Uko na nani nk nk nk
Wiki moja tu nilimpigia simu arudi ASAP!
Akakuta neti alivyoiacha ndivyo alivyoikuta,
Shuka lile lile,
Viatu vimejaa kila kona,
Soksi nyingine ziko kitandani,
Chup.i ziko chini ya mto.
Aisee kwa mwanaume kuishi bila mwenza Ni NGUMU kama Mamba kuishi nchi kavu.
Nimezungumzia wanaume...kwa wanawake mi sijui bana! Nampigia simu bibi aniambie kwake inakuwaje, then I will be right back!
Haya nigongeeni Senksi kwa hii yuzifuli posti wakati mi narudi kitandani!
Sijakuelewa mkuu,
I guess this is what Kaizer meant when he said something being 'Construted' eh? Yaani kama unaishi kwenye jamii inayovalue sana the 'living together' than the 'living single' then itakuaffect if you live differently and the same if you are in jamii ambayo whether you are single of tangled no one cares, then you wont be affected or feel the loneliness??
usiwe konfyuzed kamanda. hawa viumbe wanafeki mpaka ile kitu, hapo wamefeki sentensi tu
Am good dear.....Why not? Btw mzima wewe?
Ntarudi tena kwa ajili ya topic ya Mj1 ngoja nirethink!
Aisee mwanajamiiwan,
Nakumbuka bibi yako alichukua likizo, akasafiri. Alinambia atakuwa kwa mama yangu for two weeks then atakam baki. Nikamwambia aongeze wiki moja (Msisitizo:Mtu hamjaonana mwaka mzima afu ukae naye wiki mbili tu?) Bibi ako akaona logic akakubali. babu yako nkafurahi zangu kwa kuwa nimepata uhuru wa kujifaragua na kina Eliza na bidhaa zao.
Hakuna wa kuniuliza uko wapi.......Mbona umechelewa kurudi........Uko na nani nk nk nk
Wiki moja tu nilimpigia simu arudi ASAP!
Akakuta neti alivyoiacha ndivyo alivyoikuta,
Shuka lile lile,
Viatu vimejaa kila kona,
Soksi nyingine ziko kitandani,
Chup.i ziko chini ya mto.
Aisee kwa mwanaume kuishi bila mwenza Ni NGUMU kama Mamba kuishi nchi kavu.
Nimezungumzia wanaume...kwa wanawake mi sijui bana! Nampigia simu bibi aniambie kwake inakuwaje, then I will be right back!
Haya nigongeeni Senksi kwa hii yuzifuli posti wakati mi narudi kitandani!
Well VoR hapa umeibua a very string urgument kaka yangu.................the issue of having a partner with no strings attached
Kwa jamii yetu..........I think we are still too cultured for that lol................constructed from the time in memorial kuwa its not a good thing so for people to understand it.....will take some times
But on second thought........Does it mean kuwa both the 'no-strings attached' partners are supposed to be single au tunaruhusu hata MBAs ??
nazani hata kanumba ana muvi moja inaitwa "feki smile" , anaibiwa na broken english zake halaf analizwa halaf anatamani kuwa single (nazani bado nipo kwenye topic)Yaani kuna mmoja jana nimemmsikia akidai kuwa alikuwa anafake smile....daaaaaamn
Kwa hiyo unahitaji mwanamke kwa ajili ya kukufanyia usafi tu?
mwanajamiione,
nakushauri kwa maneno matatu tu....FOLLOW YOUR HEART!
-mara nyingi watu hushauri wapenzi waachane (huwezi jua in a long term wana kusudio gani)
-wakati mwingine unaweza amini kwamba wewe ndiye mwenye matatizo makubwa kabisa dunia nzima (sio kweli,jaribu kushea uzoefu na watu wengine then utajua).
-wakati mwingine unaweza amini kwamba YOU ARE GOING THROUGH THE HELL....!(kibinadamu inaweza kuwa lakini may be that ain't a hell)
NAMALIZA HIVI....!
USIKILIZE MOYO WAKO,UFUATE MOYO WAKO...!life is too short to have it complicated
formula ya kuwa single HAIPO KABISA!...mimi sasa hivi kwa mfano ukinambia niwe singo ni bora ukanishoot tu
i find this too advanced for our local women (tanzania)
Babu TEAMO..........aksante kwa post yako umesomeka best but napenda kukuhakikishia kuwa THIS THREAD HAS NOTHING TO DO WITH MJUKUU MTIIFU.
Yeye ameiweka baada ya kusoma article moja kwenye jarida la Bang! ambalo ni la zamani kidogo mwanadada mmoja alikuwa anaelezea mafanikio yake aliyoyapata katika maisha yake na mwisho akamalizia kwa kusema 'I am living happily single than the time I was with that jerk' ndo nkajiuliza hivi ni kweli??
Kamanda............aksante sana what you just put down here is what I believe to be the nature of human being ambaye alishawahi kuionja pepo ya mapenzi..............so what I get here ni kuwa that thing ya Living single happly ni kujiliwaza tu.............na kuwa ni kweli sometimes kale kaloneliness kanakuwepo.kamanda, issue ya loneliness ni very true, kumbuka kwamba hata tunaposafiri tu kwenda field huwa tunajisikia wapweke wakati wa kulala haswa (nimeangalia mda uliotuma hii thread nikaona iko relevant sana mazee)
Any human being aliyewahi kuwa exposed na co-habitation yoyote ile hapendi kuwa pekee, there is a sense of incompleteness around when you go to be alone or with a small baby tha needs your protection. I read somewhere kwamba a woman feel the need of protection more than a man na ukiona wewe kama woman ndio mtoa protection unahisi hakujakamilika.
Just to add a little thought hapo... they say kwamba a woman anakua more vulnerable pale anaposafiri kwenda mbali na alipozoea simply because that 80% of her life is out of the picture
USHAURI: Do what will make you complete and not lonely, whether transition, go back or lean to spiritual therapies... shule pia hupunguza stress and loneliness