MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Darlings. Sweethearts, Brothers and Sisters............
Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu.
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa (Na pengine wao wamekuwa wakipretend kunionyesha kuwa) Singles i.e. wale waliowahi kuwa na mahusiano na kisha wakakaraishwa na wenzi wao na wengine kuachiwa zawadi za watoto) kuwa wanayo amani now than kipindi walichokuwa na wenzi wao. Wengine tumediriki kuequate furaha ambayo tungeipata kutoka kwa wenzi wetu na ile tuipatayo toka kwa watoto wetu tulioachiwa= Utasikia Mtu akisema ............ah nina shida gani nikirudi nyumbani I just find my darling baby happy ananichangamsha and I am happy siku inapita (Hapa anarefer to mwanae kwa maana halisi ya mwanae----sio nick name ya husband or lover)
Nimekuwa nikisikia hadithi mbalimbali za arafiki (na ilipofika zamu yangu nikahisi kuwa it is the right decision) kuamua kuwa mwenyewe kwa kuwa nahisi sipati stress ambazo ningezipata wakati niko na mwenzi wangu. But I think it is not true...........There is something missing in the life of the loners/singles and the alike
I am not sure if it is true or its me ............. Ninaomba msaada wenu.
Nawasalimu kwa jina la Allah, Almight GOD ..............na JF anayetuunganisha kwa umoja wetu.
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza kuwa (Na pengine wao wamekuwa wakipretend kunionyesha kuwa) Singles i.e. wale waliowahi kuwa na mahusiano na kisha wakakaraishwa na wenzi wao na wengine kuachiwa zawadi za watoto) kuwa wanayo amani now than kipindi walichokuwa na wenzi wao. Wengine tumediriki kuequate furaha ambayo tungeipata kutoka kwa wenzi wetu na ile tuipatayo toka kwa watoto wetu tulioachiwa= Utasikia Mtu akisema ............ah nina shida gani nikirudi nyumbani I just find my darling baby happy ananichangamsha and I am happy siku inapita (Hapa anarefer to mwanae kwa maana halisi ya mwanae----sio nick name ya husband or lover)
Nimekuwa nikisikia hadithi mbalimbali za arafiki (na ilipofika zamu yangu nikahisi kuwa it is the right decision) kuamua kuwa mwenyewe kwa kuwa nahisi sipati stress ambazo ningezipata wakati niko na mwenzi wangu. But I think it is not true...........There is something missing in the life of the loners/singles and the alike
I am not sure if it is true or its me ............. Ninaomba msaada wenu.