Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Ninashindwa kuelewa hivi mtu mmoja ataweza kujirundikia kazi kibao wakati kuna watanzania wengi wapo vijiweni.......................Mustafa Akunaay ni Mbunge kupitia Chadema wa Jimbo la Mbulu lakini bado ni kibosile wa TATO...............yaani kweli old habits die hard...................