Pamoja na kutumia nguvu nyingi kuwasaidia Wabunge wa CCM kutinga Bungeni dalili zinaonesha watamuangusha Rais Magufuli

Kweli kabisa, mimi nilikuwa msimamizi wa uchaguzi huu, katika kituo changu Lissu alipata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyo bandikwa ni lissu 06 na Magufuli 370 hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
Majizi wakubwa hawo mchicha wa kibasila
 

Ndiyo hali halisi nchini. Ujinga umeathiri fikra kiasi kwamba Watanzania wengi wanaamini kwamba ujinga walionao ni werevu, yaani wanajua, lakini pia wao wenyewe hawajui kwamba hawajui. Na hii ndiyo maana halisi ya upumbavu.
 

Ndiyo hali halisi nchini. Ujinga umeathiri fikra kiasi kwamba Watanzania wengi wanaamini kwamba ujinga walionao ni werevu, yaani wanajua, lakini pia wao wenyewe hawajui kwamba hawajui. Na hii ndiyo maana halisi ya upumbavu.
 
Ndiyo hali halisi nchini. Ujinga umeathiri fikra kiasi kwamba Watanzania wengi wanaamini kwamba ujinga walionao ni werevu, yaani wanajua, lakini pia wao wenyewe hawajui kwamba hawajui. Na hii ndiyo maana halisi ya upumbavu.
🤣🤣Wewe mwerevu una muelekeo gani?
 
Back
Top Bottom