Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ccm huo ndiyo utamaduni wenu wa kukwapua Mali za ummaKatika suala la Mh Kanyasu nakuunga mkono;
Anateteaje udhalimu?? Au kuna mahala amehusika katika sakata hili kwa namna moja au nyingine??
Ccm huo ndiyo utamaduni wenu wa kukwapua Mali za ummaKatika suala la Mh Kanyasu nakuunga mkono;
Anateteaje udhalimu?? Au kuna mahala amehusika katika sakata hili kwa namna moja au nyingine??
Umemaliza kazi yooteAcha urongo wabunge hawakuchaguliwa na wananchi na Rais mwenyewe hakuchaguliwa na wananchi. Wewe unajua hili, wananchi wanajua na dunia inajua.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Unazungumzia ccm ipi bwashee??🤔Ccm huo ndiyo utamaduni wenu wa kukwapua Mali za umma
Majizi wakubwa hawo mchicha wa kibasilaKweli kabisa, mimi nilikuwa msimamizi wa uchaguzi huu, katika kituo changu Lissu alipata kura 79 na Magufuli kura 31 lakini matokeo yaliyo bandikwa ni lissu 06 na Magufuli 370 hapakuwa na uchaguzi ilikuwa ni ujinga tu.
MajiziUnazungumzia ccm ipi bwashee??
Duh..
Lack of sense?Majizi wakubwa hawo mchicha wa kibasila
Duh..
🤣🤣Wewe mwerevu una muelekeo gani?Ndiyo hali halisi nchini. Ujinga umeathiri fikra kiasi kwamba Watanzania wengi wanaamini kwamba ujinga walionao ni werevu, yaani wanajua, lakini pia wao wenyewe hawajui kwamba hawajui. Na hii ndiyo maana halisi ya upumbavu.
Majizi ndio kitu gani??🤔 funguka mkuuMajizi
Hata akifunguka unadhani ana kitu cha msingi zaidi ya kulia kupoteza ubungeMajizi ndio kitu gani??🤔 funguka mkuu
goja tuone..mda ndio hakim mzuri katika hili
Alijichagua mwenyeweHujui nani alimchagua?
Chukua Chako MapemaMajizi ndio kitu gani?? funguka mkuu
Majizi wakubwaLack of sense?
🤣🤣Wewe mwerevu una muelekeo gani?
Huna hoja umekuja kutoa povu la kushindwa uchaguziMajizi wakubwa
Wewe sio mwerevu ni fala unajidai mjanja, mpumbavu unaedhania unaakiliWe ni mpumbavu. Huwezi kumtambua mwerevu. Umejuaje mimi ni mwerevu angali wewe ni mpumbavu yaani mjinga usiyefundishika?