Kibona Dickson
Member
- Feb 13, 2011
- 37
- 14
rais kutokuwa tayari kuwalipa dowans yupo sahihi,kwani hayo ndio matakwa ya watanzania. kwa ngeleja na werema kukomalia hoja ya kuwalipa dowans si matakwa ya watanzania,ni matakwa ya genge la watu wachache yani mafisadi.