Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Wahariri, kwa maana ya Jukwaa la Wahariri sasa linatia kichefuchefu. Naamini sasa ni kweli viongozi wa jukwaa hilo ndiyo walimualika Nchimbi.
Wikiendi hii huko Morogoro Idara ya Uhamiaji (iliyo chini ya Nchimbi) imeandaa semina na wahariri kuzungumzxia mambo mbali mbali ya idara hiyo, na Nchimbi ndani!
Kuna umuhimu wa kuanzisha jukwaa lingine lililo huru, au kuwaondoa viongozi wa sasa. Siku ya kwenda kuwang'oa tunaomba polisi wasipeleke vikosi kuwalinda kama vile walivyofanya kwa mufti!
Wikiendi hii huko Morogoro Idara ya Uhamiaji (iliyo chini ya Nchimbi) imeandaa semina na wahariri kuzungumzxia mambo mbali mbali ya idara hiyo, na Nchimbi ndani!
Kuna umuhimu wa kuanzisha jukwaa lingine lililo huru, au kuwaondoa viongozi wa sasa. Siku ya kwenda kuwang'oa tunaomba polisi wasipeleke vikosi kuwalinda kama vile walivyofanya kwa mufti!