Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Mambo! Moja kwa moja kwenye mada: Hapa ofisini kwetu mi ni mgeni kiasi, nina miezi kadhaa tangu niajiliwe hapa. Nimetokea kumpenda sana msichana mmoja ambaye yuko bomba kinomi. Demu wala siyo wa kujiskia ingawa ni mzuri. Naye ananichangamkia sana. Kwa vile sina kikwazo home nilianzisha soga za kutaka kumnasa. Kuna mtu ambaye kwa kweli tunaheshimiana na tunajuana kwa muda mrefu sana baada ya kuona naelekea kumtaka yule dada alinieleza wazi kwamba niwe mwangalifu kwani huyo binti ameshaathilika na ngoma. Nikashtuka, lakini moyo bado haujaamini na bado nampenda; nifanyeje jamani?:dance::amen: