Pamoja na kuelezwa kwamba kaathilika bado ananivutia sana, nifanyeje?

Hmaster

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
346
86
Mambo! Moja kwa moja kwenye mada: Hapa ofisini kwetu mi ni mgeni kiasi, nina miezi kadhaa tangu niajiliwe hapa. Nimetokea kumpenda sana msichana mmoja ambaye yuko bomba kinomi. Demu wala siyo wa kujiskia ingawa ni mzuri. Naye ananichangamkia sana. Kwa vile sina kikwazo home nilianzisha soga za kutaka kumnasa. Kuna mtu ambaye kwa kweli tunaheshimiana na tunajuana kwa muda mrefu sana baada ya kuona naelekea kumtaka yule dada alinieleza wazi kwamba niwe mwangalifu kwani huyo binti ameshaathilika na ngoma. Nikashtuka, lakini moyo bado haujaamini na bado nampenda; nifanyeje jamani?:dance::amen:
 
nadhani roho yako haijakwambia vibaya sana sababu
huyo ni bin adamu ila upo tayari kuzingatia mambo yale yanayohusiana na ishu kama hizo
kama hupo tayari kaa pembeni kabla hujakwazika na kumkwaza huyo mrembo.
JE WEWE UMEPIMA AU UNAMYOOSHEA TU MWENZIO VIDOLE..........??????
 
Wewe mapenzi na ofisi wapi na wapi? Fanya kilichokupeleka kazini! Mapenzi weka pembeni.
Ni hayo tu!
 
Mambo! Moja kwa moja kwenye mada: Hapa ofisini kwetu mi ni mgeni kiasi, nina miezi kadhaa tangu niajiliwe hapa. Nimetokea kumpenda sana msichana mmoja ambaye yuko bomba kinomi. Demu wala siyo wa kujiskia ingawa ni mzuri. Naye ananichangamkia sana. Kwa vile sina kikwazo home nilianzisha soga za kutaka kumnasa. Kuna mtu ambaye kwa kweli tunaheshimiana na tunajuana kwa muda mrefu sana baada ya kuona naelekea kumtaka yule dada alinieleza wazi kwamba niwe mwangalifu kwani huyo binti ameshaathilika na ngoma. Nikashtuka, lakini moyo bado haujaamini na bado nampenda; nifanyeje jamani?:dance::amen:

Kama una uhakika unataka kumuoa basi sio mbaya ukamweleza nia yako kwa uwazi na yeye kama ameathirika akiwa muungwana atakuambia au akikubali kuwa muoane ni jambo jema lakini mpe condition kwamba lazima muende kupima VVU ili kujua hali zenu hapo ndo utajua ukweli kuwa ameathirika au laa! kuna watu wengi hasa wadada akiwa mzuri tu watu wanaanza ohoho kaathirika kumbe wivu tu umewajaa .

Lakini kwa jinsi ulivyoleta hii sred yaonekana wewe ni mzinzi/kitombi tu na huna haja ya kuoa ila ni chovya chovya tu kila sehemu, angalia sana kuchoma choma kubaya utaishia down ......yaani unataka kumaliza K zote za hapa duniani? we vipi bana??
 
Huyo aliyekwambia amejuaje kwamba ana ngoma
je wewe
bora mkapime muwe na uhakika
ukipata ukweli utaamua kunyoa au kusuka
 
Kama una uhakika unataka kumuoa basi sio mbaya ukamweleza nia yako kwa uwazi na yeye kama ameathirika akiwa muungwana atakuambia au akikubali kuwa muoane ni jambo jema lakini mpe condition kwamba lazima muende kupima VVU ili kujua hali zenu hapo ndo utajua ukweli kuwa ameathirika au laa! kuna watu wengi hasa wadada akiwa mzuri tu watu wanaanza ohoho kaathirika kumbe wivu tu umewajaa .

Lakini kwa jinsi ulivyoleta hii sred yaonekana wewe ni mzinzi/kitombi tu na huna haja ya kuoa ila ni chovya chovya tu kila sehemu, angalia sana kuchoma choma kubaya utaishia down ......yaani unataka kumaliza K zote za hapa duniani? we vipi bana??

Dah! Hii imeniacha hoi, yaani mkuu nimecheka sana kwa comment yako hasa hapo kwenye blue siju green
 
Yeye anamtaka na wewe pia, shenzy zenu. Hawezi kumtangazia mwenzake kwani aliona wapi majibu ya huyo binti? Acheni ujinga. Na kama wewe umempenda na umesikia hayo huna haja ya kushtuka na kujitenga sana nae, kwani waathirika hawahitaji kuwa karibu na watu? Huyo haumwi tb,ukoma au ebola. Vvu haiambukizi kwa kuwa karibu nae, na kama umempendaaa mtongoze na mkapime (km unataka kumuoa)na hata ukikuta kaathirika iwe siri yenu sio ndo iwe matangazo kokote uendako.
 
Na utambue wengine hawakuuupata kwa kujiuza, tusiwakatishe tamaaa ya kuishi na kujikuta wao wakiueneza kwa makusudi.
 
Iweke vizuri mheshimiwa manake toto nnalolizungumzia kulivumilia inataka hadi uache kazi!:rapture:

we mkokote muende mkapime,hoyo anaesema ana ukimwi ye kamjuaje?zisije zikawa ni zile za kupima kwa macho.
 
Mambo! Moja kwa moja kwenye mada: Hapa ofisini kwetu mi ni mgeni kiasi, nina miezi kadhaa tangu niajiliwe hapa. Nimetokea kumpenda sana msichana mmoja ambaye yuko bomba kinomi. Demu wala siyo wa kujiskia ingawa ni mzuri. Naye ananichangamkia sana. Kwa vile sina kikwazo home nilianzisha soga za kutaka kumnasa. Kuna mtu ambaye kwa kweli tunaheshimiana na tunajuana kwa muda mrefu sana baada ya kuona naelekea kumtaka yule dada alinieleza wazi kwamba niwe mwangalifu kwani huyo binti ameshaathilika na ngoma. Nikashtuka, lakini moyo bado haujaamini na bado nampenda; nifanyeje jamani?:dance::amen:
Acha tamaa fuata taratibu sio kila umuonaye unataka kugonganisha vikojoleo!itakula kwako!
 
kapimeni kwanza-ili upate confirmation-isije kuwa ni maneno ya mtaani tu-la sivyo itaku-cost
 
Back
Top Bottom