NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Wadau,
Najaribu ku-think loudly and widely. Najua hawa jamaa wa visiwani wametawanyika sana katika maeneo ya Tanganyika kuanzia Kyela Mbeya hadi Tarime Mara, kutoka Ujiji Kigoma hadi Ilala Dar es Salaam. Pia, ni ukweli usiopingika kwamba hata rate yao ya "kuongezeka" ni kubwa kutokana na ule utamaduni (dini?) wa kuwa na naniii zaidi ya mmoja. Je, endapo chokochoko hizi zinazoendelea sasa za kuona kuwa muungano hauna maana yoyote zikisababisha uvunjwe na hao jamaa wakalazimishwa kurejea makwao vile visiwa vitawatosha? Natamani sana hali hiyo itokee nione mshikemshike wa vita vya kugombea ardhi.
Najaribu ku-think loudly and widely. Najua hawa jamaa wa visiwani wametawanyika sana katika maeneo ya Tanganyika kuanzia Kyela Mbeya hadi Tarime Mara, kutoka Ujiji Kigoma hadi Ilala Dar es Salaam. Pia, ni ukweli usiopingika kwamba hata rate yao ya "kuongezeka" ni kubwa kutokana na ule utamaduni (dini?) wa kuwa na naniii zaidi ya mmoja. Je, endapo chokochoko hizi zinazoendelea sasa za kuona kuwa muungano hauna maana yoyote zikisababisha uvunjwe na hao jamaa wakalazimishwa kurejea makwao vile visiwa vitawatosha? Natamani sana hali hiyo itokee nione mshikemshike wa vita vya kugombea ardhi.