Pamoja na katiba kutoa kinga, kama haya yalitokea kwa National Audit Office, si kuwa yanatokea kwenye NEC pia?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,642
6,848
Kikatiba the National Audit Office imelindwa sana ili isiingiliwe kabisa na mamlaka ya juu ya nchi. Lakini kwa mujibu wa Prof. Assad, ofisi hiyo iliingiliwa. Sasa mwaka huu na mwaka kesho tuna uchaguzi, je, NEC, yaani Tume ya Taifa ya Uchaguzi ambayo kikatiba ni huru na haiingiliwi na mamlaka yeyote katika maamuzi na utendaji wake kazi. Kwa maelezo haya ya Prof. sio kweli NEC uingiliwa katika matokeo ya uchaguzi? Na kama katiba inatoa kinga, na mamlaka za juu kabisa za nchi zinapiga teke hiyo kinga na hakuna linalofanyika, katiba ya nini sasa?!


View: https://youtu.be/SxVfuj5W0EU?si=IskgFdcnxjOPxrZB
 
Kwamba kuna Taasisi hapa Tanzania haiingiliwi na huo muhimili wa juu? Katiba ni kiini macho tu
 
Back
Top Bottom