Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,496
- 215,341
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kizuri chajiuza, kibaya chajitembezaView attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Una mahaba mazito na CCM dogoView attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Hao ndo wajinga wenyewe mtaji wa ccm. Yanaswagwa kama mifugo!View attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Maendeleo hayana chamaUna mahaba mazito na CCM dogo
Kabisa kamanda. Tumuunge mkono na tumpe shime Rais wetu mpendwa kutuletea maendeleoMaendeleo hayana chama
Hii ni aibu kwa CCMView attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Hawa CCM washaniharibia Jmosi yangu!View attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Thubutu yake !Kabisa kamanda. Tumuunge mkono na tumpe shime Rais wetu mpendwa kutuletea maendeleo
TEN? ahadi tu wale hawana medula
Thibitisha pasi na Shaka picha hiyo ni ya morogoroView attachment 1128211
Ukikataliwa na wananchi hata ufanyeje hali haiwezi kubadilika , itabidi tu usombe watu mlandizi na kwingineko ili kujaza uwanja
Mbona sioni machadema uwanjani mlipo furika..?!
uanze wewe kwanza kuthibitisha kwamba picha hii haihusiani na mkutano wa ccm morogoro wa leo hiiThibitisha pasi na Shaka picha hiyo ni ya morogoro
mkuu mkutano wa chadema ulikuwa uwe kesho , pamoja na juhudi za wanaccm kutoka polisi lakini jitihada bado zinaendeleaPolisi wamezuia mkutano wa Chadema usifanyike kwa hiyo mkutano haukufanyika!