Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Magufuli amekuwa akionesha kutokutosha kwake kwenye kiti cha urais na ukuu wa Nchi yetu kwa kauli na matendo mbalimbali, hivi karibuni hasa akiwa Bunda na kule Lindi alikaririwa akisema hatapeleka maendeleo sehemu ambazo hazijachagua CCM, hii maana yake ni kuwa Magufuli amekaa miaka mitano Ikulu na bado hajajua kuwa yeye ni mkuu wa nchi na kiongozi mkuu wa serikali.
Magufuli hajajua hiyo serikali anayoiongoza ni ya nani na kwanini sasa anafanya kampeni, kwa kifupi Magufuli sio tu binafsi hajielewi bali pia hajui anachokifanya. Sasa acha nijaribu kumfundisha.
1. Magufuli anatakiwa aelewe kuwa Maendeleo ya watu wa nchi husika na nchi yao yanaletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na serikali yao either kwa kulipa Kodi, kufanya kazi zinazotoa ajira na kuongeza uzalishaji au kufanya kazi za kujitolea.
2. Magufuli anatakiwa ajue kuwa serikali si mali ya Rais wala chama chochote Cha siasa including CCM, serikali ni mali ya watanzania, Magufuli na CCM yake wamepewa tu dhamana/ ridhaa ya kuiongoza na ndio maana sasa hivi anahangaika huko kwa wenye serikali wampe dhamana ya kuendelea kuiongoza kwa kipindi kingine Cha miaka mitano. Kitendo Cha kusema hatapeleka maendeleo kwenye eneo lolote la nchi hii kwa sababu yoyote ni kielelezo cha namna asivyotosha, ni kielelezo cha namna asivyojua why yupo Ikulu. Maendeleo hayapelekwi na CCM Wala Magufuli bali watu na serikali yao.
Ndugu zangu watanzania kumkabidhi mtu asiyejielewa Kama Magu serikali yetu na nchi yetu kwa kipindi kingine Cha miaka mitano ni usaliti mkubwa kwa mama yetu Tanzania
Magufuli hajajua hiyo serikali anayoiongoza ni ya nani na kwanini sasa anafanya kampeni, kwa kifupi Magufuli sio tu binafsi hajielewi bali pia hajui anachokifanya. Sasa acha nijaribu kumfundisha.
1. Magufuli anatakiwa aelewe kuwa Maendeleo ya watu wa nchi husika na nchi yao yanaletwa na watu wenyewe kwa kushirikiana na serikali yao either kwa kulipa Kodi, kufanya kazi zinazotoa ajira na kuongeza uzalishaji au kufanya kazi za kujitolea.
2. Magufuli anatakiwa ajue kuwa serikali si mali ya Rais wala chama chochote Cha siasa including CCM, serikali ni mali ya watanzania, Magufuli na CCM yake wamepewa tu dhamana/ ridhaa ya kuiongoza na ndio maana sasa hivi anahangaika huko kwa wenye serikali wampe dhamana ya kuendelea kuiongoza kwa kipindi kingine Cha miaka mitano. Kitendo Cha kusema hatapeleka maendeleo kwenye eneo lolote la nchi hii kwa sababu yoyote ni kielelezo cha namna asivyotosha, ni kielelezo cha namna asivyojua why yupo Ikulu. Maendeleo hayapelekwi na CCM Wala Magufuli bali watu na serikali yao.
Ndugu zangu watanzania kumkabidhi mtu asiyejielewa Kama Magu serikali yetu na nchi yetu kwa kipindi kingine Cha miaka mitano ni usaliti mkubwa kwa mama yetu Tanzania