Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,620
- 20,951
Kusoma na kuandika na kupenda kujua tusiyoyafahamu ni hekima zaidi ha ha haKatika Karne hii ya sasa ya Sayansi na Teknolojia ukianza Kuamini katika haya jua tayari hata uwezo wako wa Kufikiri nao unaanza kufikia Ukingoni.
jukwaa letu ni la infos mbali mbali as a hobby baada ya kazi ni kama mapumziko fulani wengine wako mipirani wengine wapo bar wengine wapo guest huu tunauita mgawanyiko wa UTASHIYaani mtu anaacha kupambana kwa kuongeza connection (watu sahihi), maarifa, ujuzi na juhudi ili kupata "mkate" wa kila siku, na badala yake anategemea mafanikio kwa kuamini na kufuata mambo ya nyota au alama za vidole.
Aisee, hizi imani potofu ni kazi kuzimaliza.
My take:-
Mafanikio ni kama kupata alama "A" katika somo la Mathematics, siyo kila mtu atapata ila tusichoke kupambana kutafuta hiyo alama "A". Tuongeze Juhudi tu.
Juhudi zinaweza kuja na mengi mazuri pale tutakapokuwa na watu sahihi, maarifa, ujuzi, takwimu na taarifa muhimu.
thank you just for leaisure and let it be known and share to others