Ahahahahahahahah hata Mimi naonaMtani ujue keyboard niliyokuwa nikiitumia wakati uleeee imepotea...hii ya sasa hivi haiandiki kama vile
Ahahahahahahahah hata Mimi naona
Ila nimekumissipo!
Unatakiwa u- comment, please Heaven on Earth
Ndo zinaota ......!!!!!!!
uwanja bila majani kwa sisi tulowahi kucheza mpira ukipiga tackling unachubuka nani anapenda shilling kweye mapaja? ki2 majani mpira ndo unachezeka na pasi za magoli zinafika dkk 90 bao 6Napenda ile bustani yenye vijani kdg maana ina leta raha hasa ukiwa umepumzika bustanini,,, karibu juice ya ubuyu baba paroko.
me sielewagi napenda bustan gan jaman nachofahamu nikulenga shabaha na kutema maziwa basi inatosha sina haja ya kuchunguza hiyo bustan kwa vile ninaonaga kinyaa kuangalia manaake bustan zingine kama kidonda sugu na zingine kama ua basi raha karaha
Basi unaowapata wako hivyo jaribu wengine,achana na kitu k weweee,humuoni baba paroko kasarenda sembuse weyeee