Pale Waziri anayeshughulikia Muungano anaposema hajui kuhusu Muungano

Beem

JF-Expert Member
May 18, 2018
1,630
2,425
Nimesikitishwa sana, mpaka sasa nataka niamini alinukuliwa vibaya.

Inatia mashaka pale Waziri mwenye dhamana ya masula ya Muungano anaposema hajui kuhusu Muungano na atajifunzia humo humo

Muungano ni moja ya suala nyeti sana, kwa nini tunafanya mzaha. Vetting siku hizi hazifanyiki? Au ilimradi twende tu.

Nakumbuka mechi moja kati ya Man Utd na Liverpool, msimu wa 2017-2018. Man Utd chini ya Mourinho ilikuwa imeshafungwa goli moja. Alichofanya Mourinho dakika zikiendelea kuyoyoma alifanya sub akaingiza washambuliaji wanne. Hakukuwa na mfumo tena, mipira mirefu 'majalo' inajazwa tu mbele langoni kwa adui wagombaniane kama chandimu ilimradi goli liingie waambulie sare.

20190722_173310.png
 
Mbona hata aliyemteua alikuwa hajui chochote kuhusu Urais. Akaenda kujifunzia pale pale magogoni ndio maana kila siku analalamika kazi ya Urais ni ngumu lakini cha ajabu mwakani atajipitisha kinguvu.
😆😆😆
 
Nimesikitisha sana, mpaka sasa nataka niamini alikunukuliwa vibaya.

Inatia mashaka pale Waziri mwenye dhamana ya masula ya Muungano anaposema hajui kuhusu Muungano na atajifunzia humo humo

Muungano ni moja ya suala nyeti sana, kwa nini tunafanya mzaha. Vetting siku hizi hazifanyiki? Au ilimradi twende tu.

Nakumbuka mechi moja kati ya Man Utd na Liverpool, msimu wa 2017-2018. Man Utd chini ya Mourinho ilikuwa imeshafungwa goli moja. Alichofanya Mourinho dakika zikiendelea kuyoyoma alifanya sub akaingiza washambuliaji wanne. Hakukuwa na mfumo tena, mipira mirefu 'majalo' inajazwa tu mbele langoni kwa adui wagombaniane kama chandimu ilimradi goli liingie waambulie sare.

View attachment 1159658
mwanasheria gani hajui muungano? au kwasababu kasoma open?
 
Mambo ya muungano hata mimi yananisumbua sana sijayaelewa, lakini hata wao waliopo kwenye wizara hiyo bado yanawasumbua sana mpaka leo hii, ndiyo maana kero za muungano hazijakwisha
yanakusumbua kwasababu ya uvivu wako wa kusoma? unashindia majungu JF. Katika eneo ambalo limeandikwa kwa wingi na upana Tanzania ni muungano. nakushangaa na unafiki wako wote umeshindwa kujisomea?
 
Nimesikitisha sana, mpaka sasa nataka niamini alikunukuliwa vibaya.

Inatia mashaka pale Waziri mwenye dhamana ya masula ya Muungano anaposema hajui kuhusu Muungano na atajifunzia humo humo

Muungano ni moja ya suala nyeti sana, kwa nini tunafanya mzaha. Vetting siku hizi hazifanyiki? Au ilimradi twende tu.

Nakumbuka mechi moja kati ya Man Utd na Liverpool, msimu wa 2017-2018. Man Utd chini ya Mourinho ilikuwa imeshafungwa goli moja. Alichofanya Mourinho dakika zikiendelea kuyoyoma alifanya sub akaingiza washambuliaji wanne. Hakukuwa na mfumo tena, mipira mirefu 'majalo' inajazwa tu mbele langoni kwa adui wagombaniane kama chandimu ilimradi goli liingie waambulie sare.

View attachment 1159658
Simba kawa muwazi

Nobody knows everything
 
Back
Top Bottom