ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
Embu fikiria jinsi baadhi ya wamarekani walivyomuonaga Barack obama si lolote wala chochote kisa tu jamaa polite wakamuona very weak hata hapa ndani memba maarufu aitwaye Nyani Ngabu alikuwa anamkandia sana.
Ghafla sasa wakapata the Orange man mwenyewe, Rais mpumbavu anayeitia aibu ikulu ya Marekani kwa matamshi na vitendo vyake, Mr Trump, huwa naburudika sana nikienda youtube kuangalia nightshows za kina Trvor noah, Stephen Colbert, Seth Meyers, John oliver, Bill Maher wanajua kumake jokes za kutosha kuhusu Rais huyu asiyejiheshimu , anayechochea utengano badala ya umoja wa wamarekani
Moral of the story is...unaweza ukaruka mkojo ukakanyaga mavi, unaweza ukadhani ..ah huyu Rais gani bwana kumbe ukaja kupata Rais ambaye kila hotuba yake inaacha vumbi jeusi na hewa chafu nyuma yake
Ghafla sasa wakapata the Orange man mwenyewe, Rais mpumbavu anayeitia aibu ikulu ya Marekani kwa matamshi na vitendo vyake, Mr Trump, huwa naburudika sana nikienda youtube kuangalia nightshows za kina Trvor noah, Stephen Colbert, Seth Meyers, John oliver, Bill Maher wanajua kumake jokes za kutosha kuhusu Rais huyu asiyejiheshimu , anayechochea utengano badala ya umoja wa wamarekani
Moral of the story is...unaweza ukaruka mkojo ukakanyaga mavi, unaweza ukadhani ..ah huyu Rais gani bwana kumbe ukaja kupata Rais ambaye kila hotuba yake inaacha vumbi jeusi na hewa chafu nyuma yake