What the hell, hivi kuna watu wako attracted na butts za Wema!Sura hiyo hiyo lkn awe na chura mfano kakutumia hiyo picha ukamkandia halafu anatuma full mtoto chura Wema anasubiri nakwambia wote mtaomba namba humu jf. Wapo hao sura humwangalii mara mbili Ila chura inawaliza wanaume!
Yaani hanofu hela mbonalabda alolile ifwili na miho lakini hanofu.
😂😂😂 na kweli Mtani.African beauty
Yaani utafikiri kajiumba aiseee.hahaaa huyo jamaa aliye reply hana nidhamu aisee "... mbona hana utu kiaisi hicho
Mr Tecno ya kweli hayo?Aaah aah mkuuu siyo mimi bhana mi nimeikuta mahala tu
mtihani sana dada yanguYaani utafikiri kajiumba aiseee.