Kanyigoboy
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 529
- 1,311
Huyo ndio mnaendana Bala balaaa
Wapo wengi sanaaa tena wengi wao ndio hawa wanatumia majina mazuri mazuri na avatar za kuvutiaHahaha sio fesibuku tu hata Jamiiforums japo sijawahi kukutana nao
Mbona mzuri tuWale wapenda picha inawahusu hii hapa ni pale unapopewa namba na mdada wa facebook alafu akakutumia picha yake whatsapp na hayo ndio huja kutokea.View attachment 908432
Mwanaume wa dar unajisifia kuweka pozi zuri huku ukiwa "siriazi" ili uonekane HB,hahahSasa mbona demu mzuri ila muonekano unategemea na factor nyingi kwa hapo
_Camera
_Kutokuwa serious
dogo ajawa serious na photo kuanza na kuseti nywele vizuri then kuweka pozi mfano mimi kuna picha ambazo sipo serious nikikupostia sura mbaya kishamba ila nikikutumia photo ambayo nimekuwa serious na photo mimi mtu mmoja ambaye handsome vibaya sana kuna demu mmoja akiangaliaga picha zangu mwenyewe anakubali mimi HB.
Kingine uyo mshkaji ni mshamba nabulula anareta ishamba kama wa mkaliwenu.
Mwanaume wa dar unajisifia kuweka pozi zuri huku ukiwa "siriazi" ili uonekane HB,hahah[/QUOT
usipritend maisha boss kuna anayepiga picha bila kuweka pozi au labda unaishi karne 2 ukiwa ndani ya karne ya 21.
Da mbavu zangu mie
Sample za kinyakiyusa hiziWale wapenda picha inawahusu hii hapa ni pale unapopewa namba na mdada wa facebook alafu akakutumia picha yake whatsapp na hayo ndio huja kutokea.View attachment 908432
Hahahaa anafanana na dr.kyulia akyison mwamchachu naibu supuka wa tanjaniya
DuhhHahahaa anafanana na dr.kyulia akyison mwamchachu naibu supuka wa tanjaniya
Utakuta qumer yake tamu sanaMkuu huyu mbona yuko vyema,sema kakosa matunzo ukichanganya na mazingira.
Kumbe we mchokozi eehMwanaume wa dar unajisifia kuweka pozi zuri huku ukiwa "siriazi" ili uonekane HB,hahah