Unanikumbusha kuna jamaa angu mmoja hivi, siku hiyo mvua ilikuwa inanyesha sasa kuna mahali tulikuwa tunacheza PS huku machizi wengine wapo nje walikuwa wanakunywa kahawa. Wakapita mabinti wawili wakiwa kwenye mwanvuli mmoja. Sasa manyunyu yalivyokuwa yanazidi wakafungua mwanvuli wao, upepo ukaongeza kasi ya kujifungua kwa hiyo mwanvuli ukajibetua kwa juu.
Sasa wale wasichana wakawa wanaushika vizuri ili usijibetue tena. Mshkaji yupo " Angalieni washamba hao hamjui hata kufungua mwanvuli. Msizuge kujifanya kuushika kwa juu, washamba tu hamjui kufungua mwanvuli nyie".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.