Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,560
Kuliko ashikwe na mwalimu si bora mwanafunzi mwenzake
Walikuwa kwenye kipindi cha mapenzi bana, maana nasikia hicho kipindi kimeanzishwa mashuleni ili watu waweze kuishi kwenye ndoa vizuri ña kuweza kupata mafunzo ya ndoa, maana ndoa za siku hizi hazidumu, hicho kipindi kimeanzishwa ili kuwezesha ndoa zidumu
Walikuwa kwenye kipindi cha mapenzi bana, maana nasikia hicho kipindi kimeanzishwa mashuleni ili watu waweze kuishi kwenye ndoa vizuri ña kuweza kupata mafunzo ya ndoa, maana ndoa za siku hizi hazidumu, hicho kipindi kimeanzishwa ili kuwezesha ndoa zidumu
yes kwa wifeMkuu uko vizuri
Basi hapo hayupo mtoto wako has a wakike ndio maana unaona kawaida.Ni moja ya Hatua ya maisha hakuna cha ajabu hii ni dunia ya mwendo kasi