C CTX JF-Expert Member Jan 3, 2015 1,273 984 Oct 31, 2017 #1 wadogo zetu wa form four mungu awatangulie kwenye mitihani yenu..
Totos Boss JF-Expert Member Dec 30, 2012 5,456 1,565 Oct 31, 2017 #2 Na mambo yenyewe mwaka huu yako hivi
Khakha JF-Expert Member Jul 15, 2009 2,982 1,009 Oct 31, 2017 #4 Totos Boss said: Na mambo yenyewe mwaka huu yako hivi Click to expand... Mjomba magu huyu!
Chupayamaji JF-Expert Member Sep 19, 2017 5,786 13,560 Oct 31, 2017 #5 Duuu chabo ilikua inansevu sana
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,554 9,531 Oct 31, 2017 #6 Wanalo awamu hii yaani vyuma vimekaza mpaka kwenye chabo mzee Magu hufai hata bure utasababisha wajukuu wetu wapofuke kwa kupiga chambo kwa nguvu
Wanalo awamu hii yaani vyuma vimekaza mpaka kwenye chabo mzee Magu hufai hata bure utasababisha wajukuu wetu wapofuke kwa kupiga chambo kwa nguvu
Kv-london JF-Expert Member Jan 24, 2014 2,816 4,805 Oct 31, 2017 #8 Nipo nasimsmia mitihan shule fulsn huku kigoma aisee watot wanatoa macho hao mpaka unahisi huyu mtoto anakata roho au nn kumbe WAP?
Nipo nasimsmia mitihan shule fulsn huku kigoma aisee watot wanatoa macho hao mpaka unahisi huyu mtoto anakata roho au nn kumbe WAP?
cheetah255 JF-Expert Member Oct 19, 2017 1,373 2,385 Oct 31, 2017 #9 mtena said: Nipo nasimsmia mitihan shule fulsn huku kigoma aisee watot wanatoa macho hao mpaka unahisi huyu mtoto anakata roho au nn kumbe WAP? Click to expand... Kwa kiswahili hicho hakuna msimamizi hapo au wewe ni mgambo mkuu..
mtena said: Nipo nasimsmia mitihan shule fulsn huku kigoma aisee watot wanatoa macho hao mpaka unahisi huyu mtoto anakata roho au nn kumbe WAP? Click to expand... Kwa kiswahili hicho hakuna msimamizi hapo au wewe ni mgambo mkuu..