matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,570
- 15,319
sio mimi ni wimbo mkurugenzi.Ni wewe ndio umeumbwa na mateso!
Never generalize!
That’s all
WEYE SI UMESHIBA VYAKULA VYA MADIKTEITA UCHWARA.Ni wewe ndio umeumbwa na mateso!
Never generalize!
That’s all
hahaha, makisio v/s ukweli mtamu
wanaume wanaojilinganisha na watoto wa kike wanafeli.Apo Demu uliyesoma nae, kapata danga la maana, kwanza chuoni, alifaulishwa, na interview kapewa ofa, anakushangaa huna kazi wala hela ya kumpa.
kweli mkuu, nimekumbuka kawimbo baada ya kupigwa mzinga wa BUKU na mtu anamke na watoto. maana kuna vyma flani hapo nyumbani vimekwama hata uweke grisi Orginal kutoka Visima vya Oman.
Buku?? huyo jamaa ako na shida. Mimi naaminigi wanaume hawafualii na hawatakiwi kufuliakweli mkuu, nimekumbuka kawimbo baada ya kupigwa mzinga wa BUKU na mtu anamke na watoto. maana kuna vyma flani hapo nyumbani vimekwama hata uweke grisi Orginal kutoka Visima vya Oman.
nikioa mke kwa wewe inabidi ile jpieii ya 32 iishie kwenye makaratasi tu nitafute jipieii ya Tano kwenye kutafuta fwedha. maana mshiko utakuwa ndio litmus pepa ya mapenzi, muda wowote yanaweza kubadili rangi kutoka Blue kwenda redi.Buku?? huyo jamaa ako na shida. Mimi naaminigi wanaume hawafualii na hawatakiwi kufulia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa... inategemea na kipato chako. Ukioa mke kama mimi tutaishi vizuri kwa sababh tutawekeana majukumu ya kila mtu kutimiza kwenye familia.nikioa mke kwa wewe inabidi ile jpieii ya 32 iishie kwenye makaratasi tu nitafute jipieii ya Tano kwenye kutafuta fwedha. maana mshiko utakuwa ndio litmus pepa ya mapenzi, muda wowote yanaweza kubadili rangi kutoka Blue kwenda redi.
uko vizuri.Hahahahaaa... inategemea na kipato chako. Ukioa mke kama mimi tutaishi vizuri kwa sababh tutawekeana majukumu ya kila mtu kutimiza kwenye familia.
Sent using Jamii Forums mobile app
JambaziApo Demu uliyesoma nae, kapata danga la maana, kwanza chuoni, alifaulishwa, na interview kapewa ofa, anakushangaa huna kazi wala hela ya kumpa.