Pale tamko la CCM linapopoteza uhalali wake kwetu

Lyimo

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
3,826
2,017
Katika tamko la CCM juu ya kifo cha mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, kuna kifungu cha maneno kinachoeleza:

Vyama vya siasa na wanasiasa nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kuheshimu Utawala wa sheria ili kuendelea kuilinda amani na utulivu uliopo nchini uliojengwa kwa muda mrefu kutokana na misingi imara iliyoachwa na waasisi wa Taifa letu.

Imetolewa na;

Nape Moses Nnauye Chama Cha Mapinduzi Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Taifa.



Maswali tunayojiuliza?
1. Inamaana wameshindwa kubaini wahusika wa tukio hili zima wakati wao ndiyo wenye SERIKALI ama wanajaribu kupotezea?
2. Wao kama chama cha siasa, lini wamefata utamaduni wa UTAWALA WA SHERIA ikiwa siku hiyo wao walifanya kikao cha hadhara huku CDM wakitaka kufanya kikao cha ndani ambacho waliruhusiwa?
3. Kwanini wasiwalaani POLISI ama wao ndiyo waliwatuma wafanye hivyo?
4. Kwanini wanatoa majibu ambayo serikali yao inadai imeunda TUME ya kuchunguza tukio hili?

View attachment 64042

walivyomwuawangosijpg-2204219_p9.jpg

Bububu_2.jpg

View attachment 64045

 
Nyimbo ni zilezile za kumfumbia jirani huku mmejifunga vibwebwe, ziko wapi zile za mashujaa waliokua wakituamsha na kutukimbiza katikati ya umande ili tuwe mashujaa? Tanzania mbona wajiua na kupiga miruzi ya kujigamba kwa kumuua mbu kwa meli ya kivita tena ya 1979?
 
Sheria zote wamezipindisha ili zifuate matakwa yao hivo ni lazima zinyooshwe ili vyama vyote na asasi mbalimbali pamoja na majeshi yetu yatumike kwa sheria zenye usawa.
 
Ee Mungu nakushukuru kwa kunifunua akili yangu mapema na kuichukia ccm! Tena nakushukuru kwa namna unavyoiua mdo mdo
 
Kuna haki za msingi anazozaliwa nazo binadamu, wakati mwingi tabaka tawala wanapotumia madaraka vibaya na kuwanyima hata zile haki za msingi huleta uadui mbaya baina ya serikali na watu wake. Ccm yamefikia mahali wanacreate uadui na Watanzani. I real hate CCM and it's government.
 
Huyo NAPE ndo hamna ki2 kabisa, kila siku anakurupuka tu kutoa matamko kama vile hana washauri au washauri wenyewe ndo afadhali ya yeye?
 
3. Kwanini wasiwalaani POLISI ama wao ndiyo waliwatuma wafanye hivyo?
NDIYO;HAWAWEZI KULAANI POLIS KWA SABABU WALIWATUMA WAKAUE.
 

Vyama vya siasa na wanasiasa nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kuheshimu Utawala wa sheria ili kuendelea kuilinda amani na utulivu uliopo nchini uliojengwa kwa muda mrefu kutokana na misingi imara iliyoachwa na waasisi wa Taifa letu.

Imetolewa na;

Nape Moses Nnauye Chama Cha Mapinduzi Katibu wa NEC-Itikadi na Uenezi Taifa.



Nadhani alikuwa anawalenga BASHE na KIGWANGALA
 
serikali legevu siku zote huamua mambo kidhaifu, bado kidogo wataanza kukimbia vivuli vyao....R.I.P DAUDI MWANGOSI
 
Ee Mungu nakushukuru kwa kunifunua akili yangu mapema na kuichukia ccm! Tena nakushukuru kwa namna unavyoiua mdo mdo



Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI.
 
Tamko hili limejaa upotoshaji mkubwa. Bado halijagusa kiini cha tatizo hasa lililojitokeza huko Iringa. Lakini sijashangaa sana kwa kuwa aliyelitoa namjua. Huwezi kulizungumzia suala la vurugu za Iringa zilizosababisha kifo cha Mwangozi (RIP) bila kuwalaani polisi wale waliomuua. Ushahidi uko wazi kabisa juu ya kuhusika kwa polisi, hivyo longo longo za kuhusu utawala wa sheria hapa ni ubatili mtupu.
 
je serikali yangu mnasubiri AFE nani ndio mjuekuwa police wetu wanaua RAI VYAMA vyote vilivyoko TANZANIA ni vya WATANZANIA hivyo waote waliofia mikononi mwa POLISI ni WATANZANIA je serikali YAYETU KWA MTINDO HUU ITAKUWA INAPENDWA
 
Hawa vilaza we acha tu. Wamejisahau sana na pengine wanaota hii ni nchi yao peke yao na eti wana uhuru wa kufanya chochote.
 
nape anasema utwala wa sheria upi? maana kila kitu kinaonekana kweupe kabisa waliovunja haki ni polisi na ccm yake sasa anaropoka nini hapo
 
Back
Top Bottom