Pale soko la Karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa?

Guantanamoh

JF-Expert Member
Jul 18, 2020
1,983
4,170
Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa? Wa Bilioni 32.

Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.

Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania🤦🏽‍♀️

Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
 
Kwa ule moto uliowaka siku tatu lazima kila kitu kianzwe upya,ndo maana unaona wamezuia wananchi kusogea karibu na lile jengo kutokana na zile tofali zilishaiva muda wowote linashuka tuseme ule sasa ni mchanga uliosimama kwa jina la jengo ila jengo hamna.
Hapo umenieleza kwa uelewa wako nashukuru. Ngoja waje na wengine wanieleweshe. Maana na mimi ni mlipa kodi vile vile nahitaji kujua matumizi ya pesa
 
Tumeshapigwa Kodi zetu
Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa??? Wa Bilioni 32.

Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.

Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania🤦🏽‍♀️

Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Tumepigwa Kodi zetu
 
Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa??? Wa Bilioni 32.

Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.

Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania🤦🏽‍♀️

Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Hilo eneo waingie mkataba na mwekezaji, hizo pesa zikajenge flyover, kwani tumepungukiwa nini kwa kutokuwepo hilo jengo?!
 
Kwa ule moto uliowaka siku tatu lazima kila kitu kianzwe upya,ndo maana unaona wamezuia wananchi kusogea karibu na lile jengo kutokana na zile tofali zilishaiva muda wowote linashuka tuseme ule sasa ni mchanga uliosimama kwa jina la jengo ila jengo hamna.

Case Closed umefafanua vyema kwamba jengo linashushwa lote na wanalijenga kwa ramani ile ile.
 
Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa??? Wa Bilioni 32.

Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.

Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania

Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Hivi Samia anajua kama mradi wa Barabara kutoka Kimara hadi Kibaha umeishia njiani na Tanroads ime admit kwamba kuna ukosefu wa pesa za kuendeleza huo mradi.

Cha ajabu tunasikia uanzishwaji isyo na kichwa wala miguu.
 
Wameshindwa kumpata aliechoma ?? Hadi inatumiaka gharama yote hiyo.kwa impact gani ya lile jengo mbona maisha yanasogea kama kawaida

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Ile kamati iliyoundwa na PM ilileta mrejesho?...maana minong'ono kuhusu huu moto ni mingi...na sasa tunashuhudia hela ikitolewa bila hata feedback anyway mwaka wao huu.....
 
Bilioni 32 ni kwa ajili ya

1. Ukarabati wa soko la zamani la kariakoo
2. Ujenzi wa soko lingine jipya la kisasa la kariakoo
KAZI INAENDELEA


Screenshot_20211104-204450.jpg
 
Habari ya saizi waungwana. Nimekutana na hizi taarifa mitandaoni nimeona nije niulize maswali nijiridhishe. Kwa wataalamu wa ujenzi. Pale soko la karikaoo panajengwa foundation from the scratch au ni ukarabati gani unaofanywa??? Wa Bilioni 32.

Jamani zaidi ya rangi na partition sijui kama kuna kingine cha kubadilisha.

Labda mniambie ni foundation mpya inajengwa. Lakini kwa hela hiyo hapana. Tuna matatizo mengi sana ya kushughulikia tukianza na huo umeme mnaosua sua kutuambia na hayo maji yanayo katika katika ovyo. Tanzania

Mtatufanya tuanze kufikiria kwamba limechomwa makusudi ili watu wapate pa kupiga hela. Smh
Uliloandika ndio haswa lengo la uchomaji.
 
Back
Top Bottom