Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,471
Wadau habari za kazi.
Hivi ukiwa umekabidhiwa shirika au kampuni ya umma na vikaja vifaa vingi vya msaada mkavipokea vizuri na kuingiza kwenye Leger, alafu wizi wa baadhi ya vifaa ukatokea baadae, mkawa na uhakika wahusika ni humohumo ofisini haswa watunza stoo mtatumia mbinu gani kuwabaini?
Hazitakiwi taarifa hizi kivuja kwa mamlaka husika kulinda kibarua cha wengi, Wala polisi kubaini pia ili kulinda wengi wasiohusika kutiwa nguvuni na pengine kufukuzwa kazi na kampuni au shirika hili.
Nauliza tena ni watu wachache ofisini kuhusika tu kuwachunguza kimyakimya watuhumiwa wapate uhakika walikoficha au kuuza vifaa na ndipo habari zivujishwe kwa hatua zaidi, mbinu gani itumike?
Kama huna busra ktk hili pita kimya, japo ushauri na tahadhari unakaribishwa.
Hivi ukiwa umekabidhiwa shirika au kampuni ya umma na vikaja vifaa vingi vya msaada mkavipokea vizuri na kuingiza kwenye Leger, alafu wizi wa baadhi ya vifaa ukatokea baadae, mkawa na uhakika wahusika ni humohumo ofisini haswa watunza stoo mtatumia mbinu gani kuwabaini?
Hazitakiwi taarifa hizi kivuja kwa mamlaka husika kulinda kibarua cha wengi, Wala polisi kubaini pia ili kulinda wengi wasiohusika kutiwa nguvuni na pengine kufukuzwa kazi na kampuni au shirika hili.
Nauliza tena ni watu wachache ofisini kuhusika tu kuwachunguza kimyakimya watuhumiwa wapate uhakika walikoficha au kuuza vifaa na ndipo habari zivujishwe kwa hatua zaidi, mbinu gani itumike?
Kama huna busra ktk hili pita kimya, japo ushauri na tahadhari unakaribishwa.