donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
Hatari, hahaha
Mbona umekaa kiitikadi sana mkuu?Uyo ni Ccm.
Mbona umekaa kiitikadi sana mkuu?
Usicheze na kifo, huwa wanalia ila wale sugu zaidi machozi huwa hayatoki, wanalia kijeshi tu, sauti kubwa sana na mbaya ila machozi hayatoki hata wajilazimishe vipi.Hivi huwa ianfikia stage wanalia?Kuna mtu alishawahi kuniambia hawa jamaa huwa ni wagumu sana kulia wanapokuwa wanapata kibano.
Yaaani hata nje ya siasa yeye ni vyama tu, huo ndo ulimbukeni wa vyama.Mbona umekaa kiitikadi sana mkuu?
Hao wa kwenye red mkuu wakirudi Segerea/Keko wanakaribishwa na wanatoa latest za kitaa.Usicheze na kifo, huwa wanalia ila wale sugu zaidi machozi huwa hayatoki, wanalia kijeshi tu, sauti kubwa sana na mbaya ila machozi hayatoki hata wajilazimishe vipi.