Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,372
- 17,139
Kaa hivyo hivyo!! JM na Mwigulu ni viongozi wa baadae! JM ndio kabisa.........anapikwa ameanza kupikwa tangu Mkapa.......kama hutaki basi
Makamba amemuandaa Nani achen assumption, Nani huwa anaandaa marais?
Ingekuwa president ni MEMBE ningesema labda, lakin kwa huyu, usishangae anateua tu