Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe ni tajiri sana.hihihihi nimecheka hapo kwenye darasa la saba alafu mwagima KUISAKA namba ya MEMBE kwanini ? membe Hana bilion 10 wewe
Mkuu hebu tupe wako unayeona anafaa kwa wale jama wa kijani
Eeeh mwenyezi Mungu, tuepushe na kikombe hiki.
Sana Mkuu
LOWASSA anaenda ACT
hili nalo neno hili
Tunaimaniii naye membeee oyaaa oyaaa oyaaaa kweli ,kweli kweli membeeeKale ka nyimbo ka tuna imani na fulani........katapita na mtu naona
HejejeKwanza nafikiri hakutakua na msururu wa majina mkulu ataamua tu majina mawili tu yanatosha na hakuna wa kuhoji ili kubana matumizi wale wa mitandao watajikuta sero
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda
Hahaha, wala mkuu hatotaka maswala ya mgombea kupitishwa, atampitisha mwenyewe kwasababu yeye ndio mwenye uchungu na nchi kuliko nyie..Kwanza nafikiri hakutakua na msururu wa majina mkulu ataamua tu majina mawili tu yanatosha na hakuna wa kuhoji ili kubana matumizi wale wa mitandao watajikuta sero
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite cjamuonaIjulikane kuwa haya ni mawazo yangu niliyopata toka kwa wadau mbali mbali hivyo si lazima uyakubali waweza yakataa tukashindana kwa hoja,
WATAKAO CHUKUA FORM ZA KUOMBA UTEUZI
Hawatakuwa wengi mno
1. Hamisi kigwangala
2. Nape nnauye
3. Mwigulu Nchemba
4. Hussein Mwinyi
5. January makamba
6. Samia suluhu
7. Tulia ackson
8. Makongoro Nyerere
9. Emanuel Nchimbi
10.Suleiman jaffo
11.Diodorus Kamala
12. Sospeter muhongo
13. Steve masato wassira,
14. Bernard membe
15. Harrison mwakyembe
16. Mmoja wa darasa la Saba toka kigoma,
17. Mathias Chikawe,
18. Hussein Bashe,
19. Paul Makonda
20. Makame mbarawa,
Kamati kuu itakaa Na kupitisha yafuatayo
KUMI BORA ROUND YA KWANZA
1. Hamisi kigwangala
2. Mwigulu Nchemba
3. Hussein Mwinyi
4. January makamba
5. Tulia ackson
6. Makongoro Nyerere
7.Suleiman jaffo
8.Diodorus Kamala
9. Bernard membe
10. Harrison mwakyembe
HAITAPIGWA KURA ILA WATAANZA KUKATA SASA,ILI MAJINA YAENDE KAMATI KUU( KUMBUKA MBOWE ANASUBIRI ATAKAYEKATWA -MEMBE)
AWAMU HII INAUMIZAGA WATU KUKATA
Kamati kuu itakaa Na kupitisha yafuatayo
TANO BORA
1. Mwigulu Nchemba
2. Hussein Mwinyi
3. Akson tulia
4.Suleiman jaffo
5.Diodorus kamala
MWENEZI WA CCM ANATOKA NA KUSEMA WALIOPITISHWA NI HAO HAPO JUU, TUNAENDA KUPIGA KURA SASA
Wanachama wa almashauri kuu wanapiga kura,
Hussein Mwinyi 768
Mwingulu nchemba 710
Ackson tulia 308
Suleiman jaffo 163
Diodorus Kamala 136
Hivyo watatu wajuu wanapigiwa kura
Na kura zinahesabiwa USIKU kucha wakati Ni chache sana,
TETESI ZA KUIMARISHWA ULINZI KWA MMOJA ANAYEDHANIWA ZINAANZA,
MKUU ANATOA MAELEZO YA KULINDA NYUMBA NA FAMILIA YA ANAYEPITA,
1. Hussein mwinyi 1800+
2. Ackson tulia 600
3. Mwigulu Nchemba 320
MGOMBEA WA CCM 2025-2030 NI HUSSEIN MWINYI
Huku GWAJIMA ANAANZA KUISAKA NAMBA YA MEMBE,
UKU LOWASSA ANATIMKIA ACT,
jaman ni utabiri wangu tu
LAKIN MKAE MKIJUA CCM wanakuwa wanamjua nan Anagombea nyingine mbwembwe tu,
Samuel
Na kura zitapigwa za wazi kama katiba ilivyopitishwa hakuna cha siri hapa na ole wako usishangilie utakiona cha motoHahaha, wala mkuu hatotaka maswala ya mgombea kupitishwa, atampitisha mwenyewe kwasababu yeye ndio mwenye uchungu na nchi kuliko nyie..
"iri kusudi nchi iweze kupiga hatua"
CCM hoyee, fanya fyoko uone!
Hapa watu watakuwa kama wamenyeshewa mkuu, hapa nimtakaye atapita kwa asilimia mia moja!Na kura zitapigwa za wazi kama katiba ilivyopitishwa hakuna cha siri hapa na ole wako usishangilie utakiona cha moto
Sent using Jamii Forums mobile app
January makamba bado sana, ntakwambia, hebu waangalie hao wawili
1. Hekima
2. Kashfa
3. Weledi
4. Access ya ikulu
5. Maono
Naona Mwinyi anafaa sana
Makamba amemuandaa Nani achen assumption, Nani huwa anaandaa marais?Ikitokea HM akaenda Zbar 2020.......ina maana hapa Bara ndio hao wanabakia! Kigwa JM Mwigulu eti na, bashite............hahahhahaha! ! ! Nachojua JM amenadaliwa kuja kuwa President lini and how sijui