King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
nyie wanaume banaa, mna akili kuliko sie lakini hamuwezi kuzitumia. mwanamke ukimjulia atakuhudumia kama punda na hachoki! kama na ww uko kwa pc na jf afu unasema 'naomba chai', hata humuangalii usoni mkeo unadhani atafanyaje zaidi ya ku-shout 'dadaaaa, chaiiiii'! badala ya kumvuta mkeo, umnyang'anye remote na kumbusu kidogo umuambie mke wangu,nna hamu na chai yako manake dada hajui kutengeneza chai kama ww. undahani atakataa? umetamani harufu naturale ya mkeo, ushamuambia 'mpenzi, usipulizie perfume leo,nna hamu na harufu yako mwenyewe..' halafu akakujibu kwa ujeuri?
unakaribisha shida baba. utatembea na huyo dada na watoto wako watakiona cha moto! kuna moto wa mama yao, na wa dada anayejitahidi awe mama yao. urudi hapa professor tutakushauri tena ukishavaa balaa
unakaribisha shida baba. utatembea na huyo dada na watoto wako watakiona cha moto! kuna moto wa mama yao, na wa dada anayejitahidi awe mama yao. urudi hapa professor tutakushauri tena ukishavaa balaa
Wadau, najua hoja nyingi zimo humu kuhusu hawa wasichana ambao ni "natural"! Unajua wife hapa ninapochar kashika remote anachange cahnnel tu kwenye dish akkiagiza hili na lile, na nimetoka kuomba kikombe cha chai, lakini kamuagiza HG alete, zaidi nimeanzisha hoja fulani hapa nilichojibiwa najua mwenyewe na nilipouliza mbona unajibu hivyo ndo kabiosa mazungumzo yakaharibika... wakati huohuo namwita dada hebu nichekie kama kuna t-shirt iliyopiugwa pasi ananiitikia ndiyo baba na fasta anailete na kubonyea kidogo kwa heshima na anapoondoka naniachia harufu flani ay natural inayonihakikishia mambo yameiva napagawa... mama kapiga pafume ajabu hata sijui tena harufu yake ni ipi...
Usisahau asubuhi nikiamka ninaekutana nae ni dada, kafunga kanga moja na kama kawa anaandaaa chai fasta na kwa heshima zote, usisahau mambo yote ya mtoto anasimamia dada, kumuogesha kula na akilia anambembeleza yeye... na mama kasisitiza alipwe elfu 20,00 tena baada ya kusisitiza kwa umakini...
Jamani acheni tu sijui kama itakuwaje mi ni mtu mzima ila hapa ni tatizo kwa kweli... Nimepoteza hata uwezo wa kumshauri wife kwa kiburi alichojenga maana hata lugha haiko kama vile basi tu hakuna sababu ila sijui ndo kunizoea au vipi... wadau huko kwenu sijui kukoje