Pale askari anapochezea mfuwenii

Extrovert

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
66,696
172,654
Imezoeleka kuwa na ile hali ya maaskari kuonea wananchi hasa kutokana na wadhifa walionao katika jamii, tumeona migambo mara nyingi wakiwakorofisha wafanyabiashara wadogo wadogo bila sababu za msingi ikiwa mara nyingi ni ubabe tu..Hebu naombeni tujione pindi inapotokea hali kuwa tofauti inaweza kuwa vipi!

 
Huyo sio soja..ukitaka kuchezea mziki wa soja fanya kubipu kama jamaa afu uwekwe kat weww utajuta kumfahamu askar
 
Imezoeleka kuwa na ile hali ya maaskari kuonea wananchi hasa kutokana na wadhifa walionao katika jamii, tumeona migambo mara nyingi wakiwakorofisha wafanyabiashara wadogo wadogo bila sababu za msingi ikiwa mara nyingi ni ubabe tu..Hebu naombeni tujione pindi inapotokea hali kuwa tofauti inaweza kuwa vipi!


Ningeshangaa sana kama hilo tukio lingekuwa limetokea Tz. Maana Tz haruna askari wapuuzi kama huyo mgambo.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom