Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,724
- Thread starter
- #21
nimecheka mno jamaa alivyomchangamshia damu na blows za fasta fasta, mbaya zaidi askari hakuweza kuleta ngebe tena baada ya kuinuka akaanza kujipangusa mdomo hana hamuu kabisaaaKwakweli jamaa hakumpa nafasi. Kamtandika haswa!